Ushoga unasababishwa na mambo haya makubwa mawili. Papa Francisco aeleweke vizuri hapa

Ushoga unasababishwa na mambo haya makubwa mawili. Papa Francisco aeleweke vizuri hapa

Daaah, hiyo category ya kwanza sijakuelewa; kwamba huyu mtu amekamilika katika maumbile yake (male), na yanafanya kazi kama kawaida, halafu anakuwa shoga bila kusababishwa na external reasons?! Na je, vipi sexual arousal, zitamjia kwa perspective zote mbili; kwa maana ile ya kawaida na ya ushoga?

Sent using Jamii Forums mobile app
Natural predisposition/genetics
Vinasaba (genes) ndio huamua kila kitu katika biologia ya viumbe. Tabia zote kama vile urefu, rangi, muundo wa mwili, hata hisia za mtu hutokana na nasaba ya mtu. Hormones zinazochochea hisia za mtu kwenye mahusiano na majamiiano zinaendeshwa na genetics za mwili wa mtu.

Wanaume wengine wana hormones (vichochezi) vya kiume (androgens) kama vile testosterone kwa Kiwango kidogo. Wanaume hawa wanaweza kuwa na maumbile na hata hisia zinazofanana na za kike hivyo kuvutiwa zaidi na wanaume wenzao kuliko wanawake, na hapo ndipo maelekeo ya kishoga yanapoanzia.
 
Naomba kuuliza,hv mkun d u una hisia unapata nyege

Maana ukifatilia video za hawa watu wakati wa kutatuliwa rinda wanakuwa wanakunja sura ina maana wanaumia sasa hapo kuna raha gani

Afu nimeshashindwa kuelewa pale mtu anapokuwa na hormone nyingi za kike kwanini achague tundu la kinyeo ndo liteseke,kwanini asiishie kuwa kama mwanamke lakin jicho hatoi
 
Naomba kuuliza,hv mkun d u una hisia unapata nyege

Maana ukifatilia video za hawa watu wakati wa kutatuliwa rinda wanakuwa wanakunja sura ina maana wanaumia sasa hapo kuna raha gani

Afu nimeshashindwa kuelewa pale mtu anapokuwa na hormone nyingi za kike kwanini achague tundu la kinyeo ndo liteseke,kwanini asiishie kuwa kama mwanamke lakin jicho hatoi
Waongo hao. Wanapenda mseleleko
 
Ushoga una sababu nyingi kubwa ni mbili;

1) Natural predisposition (genetics).
2) Mazingira (malezi na trauma).

Watu wamejikuta wapo huko bila kujua. Tusiwalaumu na kuwakatilia mbali wale wanaoathirika kwa njia hizi, ndicho Papa Francisco anachosema na kwa bahati mbaya ameeleweka vibaya.

Pia Ushoga waweza kutokana na purely experimental reasons (utundu) wa mhusika. Mtu hana matatizo wala historia ya malezi mabovu au trauma ila kaamua kuwa shoga. Hapa mhusika alaumiwe lakini asaidiwe.

Wote wanahitaji msaada kisaikolojia na kiroho.

NB: Ni ajabu kwamba siku hizi tunaweza kujadili mambo haya hadharani. Hii inaonesha moral insensitivity inazidi kukua na msishangae ushoga ukawa issue ya kawaida sana siku zijazo na wanaopinga au kushangaa ushoga wakawa ndio wenye kushangawa na jamii kuliko mashoga wenyewe!
papa dhambi alizokuwa nazo nyingi na mbaya sana kuliko ushoga
kitendo cha kuwaa minisha watu kuwa yesu ni mungu na mariyamu ni mama wa mungu

kitendo cha papa kuchukua jukumu la mungu kuwataka watu waungame dhambi kwake heti awasamehe na kuweka masanamu makanisani

na kuwahadaa watu wanaume heti waishi bila kuoa wanawake bila kuolewa hizo ni dhambi kubwa sana
ndio maana papa uchukula ushoga na ubasha jambo la kawaida mapadir wanaogoza kuwafira watoto wakiume duniani lakina papa awafanyi lolote
 
Ushoga una sababu nyingi kubwa ni mbili;

1) Natural predisposition (genetics).
2) Mazingira (malezi na trauma).

Watu wamejikuta wapo huko bila kujua. Tusiwalaumu na kuwakatilia mbali wale wanaoathirika kwa njia hizi, ndicho Papa Francisco anachosema na kwa bahati mbaya ameeleweka vibaya.

Pia Ushoga waweza kutokana na purely experimental reasons (utundu) wa mhusika. Mtu hana matatizo wala historia ya malezi mabovu au trauma ila kaamua kuwa shoga. Hapa mhusika alaumiwe lakini asaidiwe.

Wote wanahitaji msaada kisaikolojia na kiroho.

NB: Ni ajabu kwamba siku hizi tunaweza kujadili mambo haya hadharani. Hii inaonesha moral insensitivity inazidi kukua na msishangae ushoga ukawa issue ya kawaida sana siku zijazo na wanaopinga au kushangaa ushoga wakawa ndio wenye kushangawa na jamii kuliko mashoga wenyewe!
Pope amefafanua kauli yake ya juzi baada ya kuona hakueleweka. Sasa kwa huu ufafanuzi nimemwelewa ila siku nyingine mambo sensitive kama haya awe anatoa ufafanuzi wenye clarity ya kutosha asichanganye watu na kuanza kulazimika kufafanua kama hivi;


Pope Francis has written a letter to clarify his comments on sin and homosexuality from a recent interview with the Associated Press.

“When I said it is a sin, I was simply referring to Catholic moral teaching, which says that every sexual act outside of marriage is a sin,” the pope wrote to Jesuit Father James Martin in response to a request for clarification.

Francis said he was trying to say in the interview that criminalization of homosexuality “is neither good nor just.”

“As you can see, I was repeating something in general,” he wrote. “I should have said ‘It is a sin, as is any sexual act outside of marriage.’ This is to speak of ‘the matter’ of sin, but we know well that Catholic morality not only takes into consideration the matter but also evaluates freedom and intention; and this, for every kind of sin.”

Martin published the pope’s Spanish-language letter and an English translation on the website of Outreach on Jan. 27. Martin is the editor of Outreach, which describes itself as “an LGBT Catholic resource” operating under the auspices of America Media.

In an interview published Jan. 25 by AP, Pope Francis said: “Being homosexual is not a crime. It’s not a crime. Yes, but it’s a sin. Fine, but first let’s distinguish between a sin and a crime.”

The Outreach article posited that the pope’s comment that “yes, but it’s a sin” was intended to be from a hypothetical interlocutor to whom Pope Francis was responding.

In his Jan. 27 letter, Pope Francis ascribed the confusing statement to the conversational tone of the interview.

“It is understandable that there would not be such precise definitions,” he said.

The pope also noted that the AP interview was “not the first time that I speak of homosexuality and of homosexual persons.”

When speaking about the sin of sexual activity outside of marriage, he added that “of course, one must also consider the circumstances, which may decrease or eliminate fault.”

The Catholic Church does not teach that homosexuality, that is having same-sex attraction, is a sin.

According to the Catechism of the Catholic Church, people with homosexual tendencies should be treated with respect, and unjust discrimination against them should be avoided, while “homosexual acts are intrinsically disordered” and “under no circumstances can they be approved.”

The Catechism also teaches that for a sin to be mortal, three conditions must be met: It must be grave matter, which is also committed with full knowledge and deliberate consent.



Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Una uhakika??
Ukisoma kitabu cha new world order huwezi kuwa kiongozi mkubwa wa dini bila kukubali homosexuality hyo papa moyoni mwake halipendi na analichukia hilo jambo ila ndio matakwa ya wakubwa wake lazima akubali.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
 
Ushoga una sababu nyingi kubwa ni mbili;

1) Natural predisposition (genetics).
2) Mazingira (malezi na trauma).

Watu wamejikuta wapo huko bila kujua. Tusiwalaumu na kuwakatilia mbali wale wanaoathirika kwa njia hizi, ndicho Papa Francisco anachosema na kwa bahati mbaya ameeleweka vibaya.

Pia Ushoga waweza kutokana na purely experimental reasons (utundu) wa mhusika. Mtu hana matatizo wala historia ya malezi mabovu au trauma ila kaamua kuwa shoga. Hapa mhusika alaumiwe lakini asaidiwe.

Wote wanahitaji msaada kisaikolojia na kiroho.

NB: Ni ajabu kwamba siku hizi tunaweza kujadili mambo haya hadharani. Hii inaonesha moral insensitivity inazidi kukua na msishangae ushoga ukawa issue ya kawaida sana siku zijazo na wanaopinga au kushangaa ushoga wakawa ndio wenye kushangawa na jamii kuliko mashoga wenyewe!
Eh! Kila mtu alinde nyumba yake isikumbane na dhihaka hii!
 
Back
Top Bottom