monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,781
- 13,444
Noma sana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣 usiuze sana mechi mkuuNdo nakumbuka nlipoona comment yako
Uliulizwa Ile classic 'una malengo gani na Mimi?' au kale kamsemo ka 'tafadhali naomba usinipende'[emoji23]Mara ya mwisho kutongoza live ilikua 2014 kwa mtoto wa Katekista. Niliapa sitarudia tena, Sio kwa maswali yale[emoji125][emoji125][emoji125]
Mimi nilitukanwa nikaambiwa sijui kutongoza na kicheko Cha dharau juu[emoji1787][emoji1787].Niliapa sitarudia.Mara ya mwisho kutongoza live ilikua 2014 kwa mtoto wa Katekista. Niliapa sitarudia tena, Sio kwa maswali yale[emoji125][emoji125][emoji125]
Kwahiyo saivi unawapataje sasaMimi nilitukanwa nikaambiwa sijui kutongoza na kicheko Cha dharau juu[emoji1787][emoji1787].Niliapa sitarudia.
Ukiwa na hela hata ukimtongoza na sim kitochi atakubali tu!
Sisi wenyewe tutamfata uso KWA uso tutamtafuna tu, kirahisiNiko fasta kidogo leo, nitaenda kwenye mada.
Vijana mnakosa mbususu za bure kwa kukosa maarifa, kaka yenu nawapa somo leo baada ya utafiti usio rasmi nliofanya kwa muda mrefu.
Usitongoze mwanamke kwa simu unampa muda wa kukujudge sana, wewe panga siku baada ya salamu za hapa na pale. Hio siku muimbishe uombe appointment, asilimia kubwa watakubali sababu hawatokua wamejiandaa, na incase akitokea muimbishe zaidi huku unalenga kula mzigo na mzigo utaula tu 80% probable.
Mshasoma 'The art of war'? Sun Tzu anasema 'attack when your enemy is unprepared' sasa mtongoze dem kwa texts hapo unakua unampa mda mwingi wa kujipanga na atakudharau.
Mtongoze dem akiwa unprepared hapo ataona aibu aibu na hio ni dalili nzr.
Kuna binti mwasibu wa jumuiya nmetoka kumla sasa hv hapa lkn nmetumia hio mbinu mtoto wa watu akaanza kunichekea tu, sio kwamba ni yuko cheap lkn mbinu zangu zimefanikiwa, na hapa mtaani watu wanamuogopa balaa ila mwanaume nimekula leo na style ambazo sikudhan anazijua. Huyu nitaoa niombeeni kaka yenu uzima tu na asibadilike huyu mtoto.
All in all usiwe kama Simba Sc kutarget robo fainali wakati Yanga tunataka kombe, utachelewa mjini hapa shauri yako
Watu wengine viherehere.
Sasa uasherati wako na Muhasibu wako ulikuwa na haja gani ya kuihusisha na Simba?
Pathetic!.