Ushuhuda baada ya Utafiti: Acheni kuwatongoza wanawake kwa kutumia simu (kuchat), watongozeni uso kwa uso

Mara ya mwisho kutongoza live ilikua 2014 kwa mtoto wa Katekista. Niliapa sitarudia tena, Sio kwa maswali yale[emoji125][emoji125][emoji125]
Uliulizwa Ile classic 'una malengo gani na Mimi?' au kale kamsemo ka 'tafadhali naomba usinipende'[emoji23]
 
Mara ya mwisho kutongoza live ilikua 2014 kwa mtoto wa Katekista. Niliapa sitarudia tena, Sio kwa maswali yale[emoji125][emoji125][emoji125]
Mimi nilitukanwa nikaambiwa sijui kutongoza na kicheko Cha dharau juu[emoji1787][emoji1787].Niliapa sitarudia.
 
Bado mnatongozana tu? Siku hizu vibes zikiendana imeisha hiyo.
 
Idad kubwa,wake zawatu pamoja na yapis kali zilizo liwa zimefanikishwa kwanjia ya simu.. amin hivo mkuu, sabbu hata domozege nao wanawin kwa% achilia mbali watu hatar kama zero IQ.
 
Sisi wenyewe tutamfata uso KWA uso tutamtafuna tu, kirahisi
 
Watu wengine viherehere.

Sasa uasherati wako na Muhasibu wako ulikuwa na haja gani ya kuihusisha na Simba?

Pathetic!.

Aiseee, nna miaka kumi sijaitwa kiherehere, jf under fake ids inaleta raha sana.

Ila tuongelee simba na uasherati, yaan unaona kabisa haviendani. Huyo CEO wenu kambania mbususu boss wake akaitoa kwengine ndo ikamlazimisha kuachia ngazi kama hujui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…