MLEVi Mmoja
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 8,514
- 15,050
Yaaah upo sahihi nashangaa watu wanaohangaika wakifikiri hii ni dawa ya kuua virusi.....ukiwa na ngoma hupewi
Tahadhari ndugu zangu tuache ngono zembe ukimwi hauna tiba na hii sio tiba
Sent from my iPhone using JamiiForums
Unapima baada ya wiki nne ukimaliza tu kumeza. Then unarudia Tena kupima baada ya miezi 3 na mwisho Tena baada ya miezi 6.Asante kwa maelezo mkuu
Hiyo PEP huwa inawasaidia kweli kama tunavyosikia hizo story ?
Ukitumia pep ukamaliza unakaa mda gani unaenda Pima tena ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa na maambukizi havikutesi ?hapo sijakuelewa
Si niliskia hospital wanakupa hivo vidonge pale tu wanapokupima na kugundua hauna maambukizi lakini ulifanya ngono zembe au ulipita kwenye mambo ambayo yangepelekea kupata maambukizi mfano kubakwa,au kujikata na damu kuwa exposed na mtu ambae pengine angekuwa muathirika lakini wakikupima wakikukuta na ukimwi haupewi pep si ndi hvyo au ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa maelezo mkuu
Hiyo PEP huwa inawasaidia kweli kama tunavyosikia hizo story ?
Ukitumia pep ukamaliza unakaa mda gani unaenda Pima tena ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu PEP ndo hizo hizo ARV.
Ukienda utapewa TLE(Tenofovir,Lamivudin na Efavirenz)
Sent using Jamii Forums mobile app
TLE(Tenofovir,Lamivudin na Efavirenz) hizo ndo unapewa pamoja na pep kama umeathirika ?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23]Taratibu mkuu..nini kimekukuta huko mtaani?
Ni kweli kabisa mkuu hii sio dawa ya kuua na wakishagundua unao hawakupi kabisa yaani hapo sijajua reason behind
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizo pep ni arvHawakupi kwa sababu sio dawa ya kuponya ngoma
Sent from my iPhone using JamiiForums
Athari za dawa zozote hotofautiana mtu mmoja na mwingine.Huyo atakuwa kuna kitu kingine alikuwa anafanyia hizo dawa kwa mziki wa pep ukitumia mara moja huwezi tamani tena
Kuna mmoja alikuwa na huu mchezo. Kila akimaliza kufanya umalaya anakimbilia sipitali kuomba PEP.
Ikiwa ndio tabia yake. Mara ya kwanza, ya pili, ya tatu... ya nne madokta wakamfukuzia mbali.
Sijui alishajifia? au alikimbilia sipitali nyingine kuomba ARV ili ajikinge! Ujinga mzigo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh,Mkuu wewe ni Mwalimu Mkuu?umekua mkali mpaka nimeingia ubaridi.. 😀PEP hazikuwekwa kwa malengo ya kufanya ngono na kukimbia kwenda kuzimeza.
Malengo ya PEP ni kwa wale waliopata hatari ya maambukizi BILA KUTARAJIA kama vile kuhudumia wagonjwa, kubakwa, kujeruhiwa na vitu vyenye ncha kali au kupata ajali inayohusisha migusano.
Na zinapaswa kumezwa kwa TAHADHARI na kwa KIASI (sparingly) - na ikibidi chini ya usimamizi wa daktari!
Ninyi makahaba mmefanya hizi dawa kama mbadala wa uhuni wenu. Umetoka huko kufirana unakimbilia kumeza dawa. Eti ujikinge!
Utameza mara ngapi! Na kadiri unavyoendelea kuzibugia kila mara lazima mwili utengeneze sumu kali na reactions zisizodhibitika.
Endelea kubugia! Nunua makopo yaweke kabatini.
Sent using Jamii Forums mobile app
PEP ndo hizo hizo ARV.Sio ARV ndugu ni dawa mbili tofauti
Sent from my iPhone using JamiiForums