Ushuhuda: Hasara inauma asikwambie mtu

Mkuu mwaka 2016 nilifuga kuku kwa mataji wa zaidi ya 1.5 ml.kuku walikwenda poa baada ya miezi kadhaa uliingia ugojwa kuku wote walkufa..yani kuku hata nyama huoni ladha yake.niliumia sana sana..nilitiwa moyo kama hiv na principle yangu flank hv huwa inaniongoza kuwa kufeli ndio njia njia ya kuelekea kufaulu..nilisimama tena watu wa kalibu walisema kila mtu na lake mm sikufa moyo nilianza tena kwa hapa na pale now mkuu nina kuku zaidi ya 400..mungu ni mwema..usikate tamaa mkuu,,ukikata tamaa tu umekwisha.
 
Kuanguka ni kawaida ila ukishindwa kuinuka ndio tatizo usiogope,nafac unayo tena ya kunyanyuka!
 
Hongera sana boss.
 
mimi nimeshaanguka zaidi ya mara 100 lakini bado nakomaa mpaka leo.........
 
Duh pole sana...."Stake what you can afford to loss"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…