Ushuhuda: Kuajiriwa ni bora kuliko kujiajiri

Ushuhuda: Kuajiriwa ni bora kuliko kujiajiri

Tatizo naliona lipo kwako mtoa mada. Ukifanya kazi ambayo hukuisomea lazima ufeli.

Ulichotakiwa ni kuwa mjasiliamali ukiwa ndani ya kuajiriwa kwako.

Watu wengi wanaofanikiwa huwa hawategemei chanzo cha mapato kimoja.
 
Nikikwambia natafuta vhochote hapo kkoo means unaweza kutafuta.
 
Tatizo naliona lipo kwako mtoa mada. Ukifanya kazi ambayo hukuisomea lazima ufeli.

Ulichotakiwa ni kuwa mjasiliamali ukiwa ndani ya kuajiriwa kwako.

Watu wengi wanaofanikiwa huwa hawategemei chanzo cha mapato kimoja.
Yeah ni kweli
 
Haya mambo ni kama namba sita na tisa ambazo zinategemea umekaa upande upi.
Wewe umemaliza kila kitu! 6 - 9; hizi namba zote ni za aina moja kutegemea upande ulio kaa. Hata mimi ningekuwa nafanya kazi BOT, kamwe nisingeacha kazi na kujiajiri! Ili iweje kwanza?

Ila sasa eti unafanya kazi isiyo na maslahi kama ualimu, ulinzi wa Halmashauri kama mimi! Yaani mishahara haijawahi kukutana! Halafu unaniambia eti nifie kwenye ajira! Yaani mshahara wangu kwa mwezi, ni posho ya Mbunge ya kikao kimoja tu! 😫

Si bora niendelee tu kulima ngogwe na kuuza gongo!
 
Shida kubwa ya kujiajiri ni kwamba mitaji inakuwa midogo, ila uhakika wa kujiajiri ni mzuri sana ukiwa na mtaji wa kutosha na uelewa wa aina ya biashara utakayoifanya.

Kuna watu kwa mwezi wanaingiza milioni 40 mpaka 70 mtu kama huyu hauwezi kumshauri eti akaajiriwe ata mimi binafsi nikiwa na uwezo wa kuingiza milioni 18 kwa mwezi wala siitaki ajira.

Ajira unakula uhakika wa kujilimda na majanga madogo madogo na uhakika wa kula kwa mtu mwenye kujipangia bajeti zake sawa sawa na uhakika mwingine ni kupata mkopo ambao labda utakusaidia kwa baadhi ya mambo kama Kujenga au kuanzisha biashara ya wastani.
 
Wewe umemaliza kila kitu! 6 - 9; hizi namba zote ni za aina moja kutegemea upande ulio kaa. Hata mimi ningekuwa nafanya kazi BOT, kamwe nisingeacha kazi na kujiajiri! Ili iweje kwanza?

Ila sasa eti unafanya kazi isiyo na maslahi kama ualimu, ulinzi wa Halmashauri kama mimi! Yaani mishahara haijawahi kukutana! Halafu unaniambia eti nifie kwenye ajira! Yaani mshahara wangu kwa mwezi, ni posho ya Mbunge ya kikao kimoja tu! 😫

Si bora niendelee tu kulima ngogwe na kuuza gongo!

Wewe umemaliza kila kitu! 6 - 9; hizi namba zote ni za aina moja kutegemea upande ulio kaa. Hata mimi ningekuwa nafanya kazi BOT, kamwe nisingeacha kazi na kujiajiri! Ili iweje kwanza?

Ila sasa eti unafanya kazi isiyo na maslahi kama ualimu, ulinzi wa Halmashauri kama mimi! Yaani mishahara haijawahi kukutana! Halafu unaniambia eti nifie kwenye ajira! Yaani mshahara wangu kwa mwezi, ni posho ya Mbunge ya kikao kimoja tu! 😫

Si bora niendelee tu kulima ngogwe na kuuza gongo!
Kujiajiri ni kuzuri kama alivyosema GEMBESON kwamba unakuepo hapo lakini unakua na chanzo kingine cha mapato, mtaji unakua umeupatatia ndaani ya ajira.
 
Shida kubwa ya kujiajiri ni kwamba mitaji inakuwa midogo, ila uhakika wa kujiajiri ni mzuri sana ukiwa na mtaji wa kutosha na uelewa wa aina ya biashara utakayoifanya.

Kuna watu kwa mwezi wanaingiza milioni 40 mpaka 70 mtu kama huyu hauwezi kumshauri eti akaajiriwe ata mimi binafsi nikiwa na uwezo wa kuingiza milioni 18 kwa mwezi wala siitaki ajira.

Ajira unakula uhakika wa kujilimda na majanga madogo madogo na uhakika wa kula kwa mtu mwenye kujipangia bajeti zake sawa sawa na uhakika mwingine ni kupata mkopo ambao labda utakusaidia kwa baadhi ya mambo kama Kujenga au kuanzisha biashara ya wastani.
Umeongea ukweli mtupu, kujiajiri ukiwa na mtaji Mkubwa na pia uelewa wa biashara husika nje ya hapo ni mahangaiko tu
 
Kujiajiri ni kuzuri kama alivyosema GEMBESON kwamba unakuepo hapo lakini unakua na chanzo kingine cha mapato, mtaji unakua umeupatatia ndaani ya ajira.
Siku ukipata mtaji wa uhakika, usisite kuchukua tena maamuzi magumu ya kujiajiri! Imagine Bosi unakuwa ni wewe mwenyewe! Kodi unakadiriwa kwa mwaka! Tena kwa kukaa meza moja na maafisa wa TRA, mnakubaliana kiwango cha malipo.

Huku ukiwa mfanyakazi, kila mwezi unakumbana na Payee iliyo changamka! Achilia mbali yale makato mengine! Kimsingi nakubaliana kabisa na wataalam wanaosema kuajiriwa ni utumwa.
 
Kuajiriwa ni bora hasa uajiriwe na serikali, mikopo ni rahisi kukopeshwa na kurejesha kwa kukatwa mshahara moja kwa moja unakotoka. Kuna kiinua mgongo baada ya kustaafu na malipo ya pensheni uzeeni, hicho ndicho kinachofanya ajira serikalini iwe bora
 
Kuajiriwa ni bora hasa uajiriwe na serikali, mikopo ni rahisi kukopeshwa na kurejesha kwa kukatwa mshahara moja kwa moja unakotoka. Kuna kiinua mgongo baada ya kustaafu na malipo ya pensheni uzeeni, hicho ndicho kinachofanya ajira serikalini iwe bora
Ni kweli kabisa
 
Mzee hicho kitu nimekifanya ajira in sehemu yake mkuu mm nilikuwa nafanya Kaz maahalinjikaseve kweli ili nije kujiondoa ktk Hali ile ya kuajiriwa aise mtaji karibu wote umeporomoka vibay
 
Uko sahihi mkuu, biashara ni changamoto sana hasa kama unaitegemea yenyewe kuendeshea maisha, nafikiri ungeanzisha biashara wakati ukiwa kwenye ajira ndo usingeona huo ugumu, ajira bado ni kitu cha msingi kabisa ila usibweteke tu
 
Mkuu mm natafuta ile Brenda ya kusaga matunda isiyotumia umeme yaan manual ukiipata nishtue

Maana nataka nirud shamba kulima kipunguza machungu ya jembe nataka niwe nashushia juisi

Usisahau bei
 
Mkuu mm natafuta ile Brenda ya kusaga matunda isiyotumia umeme yaan manual ukiipata nishtue

Maana nataka nirud shamba kulima kipunguza machungu ya jembe nataka niwe nashushia juisi

Usisahau bei
Hii hata kesho nakutumia. Vipi unalima mkoa gani? Maana moyo wangu unaniambia nilime
 
Back
Top Bottom