Ushuhuda: Kuajiriwa ni bora kuliko kujiajiri

Nimekuelewa Mkuu kwa mazingira Yale nilikua babati vijijini na fursa iliyopo kule ni kilimo pia sikua na mtaji.
Ukiongeza pia kutoka chuo sikua na jicho Kali la kuchungulia fursa.
Changamoto ya vijana wengi haswa waliomaliza chuo ni kukosa mentor sahii wa "kumdirect" kumuonyesha njia ya kupitia so tunapambana kwa njia yetu wengine wanafanikiwa humo wengine pia wanashindwa humo lakini pia nilichoelewa ukiachana na mtaji business is not for weak.
 
Huu ni mkakati wa kibiashara..hili ni tangazo..unamuonea huruma unanua bidhaa zake.
Safi sana Mkuu
 
Ni kweli Mkuu umeongea fact tupu natarajia kulima alizet, ufuta au karanga mazao ambayo hayategemei mvua kwa wingi lakini pia sio Leo wala kesho mpaka nijipange kwanza
 
Huu ni mkakati wa kibiashara..hili ni tangazo..unamuonea huruma unanua bidhaa zake.
Safi sana Mkuu
Mkuu mbona hapa sihitaji huruma labda wewe ndio unaona huruma. Najaribu kutoa funzo na experience fupi kwa mtu anaetaka kuacha kazi ili ajiajiri.
 
Kwa kijiini ni sawa lakini mkuu next time ukipata nafasi research ni muhimu.
Acha uonekane ni muoga lakini kuweka pesa mingi sehemu ambayo huna uhakika nayo na ni pesa unayoitegemea ni too risk aisee.
Kweli mkuu
 
Wewe ni tajiri tayari, namna unavyojibiidisha ndivyo pesa inaingia:-
  • Nenda huko fb n.k fungua ukurasa wako, usomeke:- Msambazazji wa vyombo vizuri kwa bei nafuu, huku ukilipa kidogo kidogo
  • Weka mawasiliano yako vizuri
  • Unga marafiki wa kutosha
  • Beba mzigo peleka mkoani, ukakopeshe walimu n.k
  • Mwisho wa mwezi zungukia makusanyo ya pesa
 
Upo k.koo mkuu? njoo PM kuna ishu nataka nikupe uifanye sio ya kununua wala nini

hutumii chochote zaidi ya akili na kuuliza,nahitaji taarifa flani Ukiwezesha kunipa details

za ninachokitaka na nikikipata ntakupa 50,000 (kama shukurani tu) sina muda nipo busy ila kuna mtu kanitonya kaniambia jambo

sasa nataka mtu nisiemjua asienijua aifanye hiyo kitu kisha aniletee mrejesho,Nahitaji MUDA wako..Sihitaji mtu yeyote eneo hilo ajue ni mimi naulizia hicho kitu,ndio mana nimeona kama unanifaa.

PM ipo wazi njoo tuyajenge...
 
Haha waaambie hao si mchezo ndugu
 
Tatizo ni elimu duni uliyopata ndo maana unaona bora kuajiriwa!

Yaani mtu umesoma level hizo bado unafanya uchuuzi halafu unalaumu!

Elimu uliyopata haikuwezeshi kujitofautisha na gumbaru ( mtu ambaye hakusoma kabisa).
Elimu ikuwezeshe kujenga biashara yenye mifumo ( siyo uchuuzi)! najua kwa upeo wako mdogo utaaanza kuniuliza nitapata wapi mtaji!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…