long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,064
- 1,012
Kuna mambo huwa yananitatiza. Wengi wananishauri kwamba mara nyingi mipango yangu ya maendeleo niifanye siri,hata kwa rafiki zangu. Sasa nitajuaje changamoto za hiyo mipango? Mimi naona kama nikiwashirikisha kama wanaweza ongezea input fulani.