OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Inaonekana unapenda chupiNimekapenda tu kapicha kakusindikizia uzi.
Nimeshika kitu hapa ndo nimemkumbuka,Kuna mama jirani hapo alikuwa anamwekea mumewe limbwata lavuzi na utoko anachanganya na dawa ya unga.Alitumia sana mboga za majani kuweka hiyo dawa Ili vinyweleo visionekane kiurahisi....aisee Kuna Siku naona mumewe alikuwa na Mungu wake kachota mboga Ivi anakutana na kibunda Cha uvuzi ,akapotezea....kesho Tena ivoivo...ndo akajua anhaaa,hapa siulizi kitu ....yaan alimfuata mkewe chumbani ni stuli ya kichwa Moja tu mke kimya ila tunashukuru alipona akashonwa nyuzi za kichwa then na ndoa ikawa imemshinda🤸👋Ukiachana na hawa wanga wa Pwani limbwata lipo la asili mfano wanawake Wana care vizuri wanaume yaani kuanzia misosi mapokezi maandalizi mpaka kidume unajikuta kama mfalme wanawake hao especially wadigo ndo wanavyofunzwa na makungwi wao Wana mpaka madarasa ya mapishi ambayo sasa wanwake pande zote mikoani nao wanatumia utaalamu wanajifunza,kifupi huo udambwi dambwi wa mapishi uko kila kona kwa sasa ni njia pia wanatumia kama limbwata.
Na katika ushirikina ni imani tu wapo wanaamini.
inaonekana unapenda chupi
Hakuna kitu kama limbwata. Ni mapenzi tu, unakuta mtu anampenda mwanamke kiasi kwamba anamsikiliza kwa kila jambo na hata akifanyiwa vituko bado anaona ugumu kuachana nae, moyo unamrudisha. Hapo ndo watu watasema sasa ni limbwataView attachment 2342767
Binafsi najua limbwata lipo. Mtu akipigwa limbwata anafanya vitu ambavyo watu watamshangaa na yeye unawashangaa kwanini wanamshangaa. Omba sana katika harakati zako za mapenzi usipigwe limbwata.
Waambie ndugu na masela wakiona umepigwa kitu wakushtue, ukiwa mbishi wakubebe kinguvu wakupeleke kwenye maombi au kwa mtaalamu. Unakuwa hujijui.
Kuna baadhi wanasema hakuna limbwata ila ni mambo ya kufikirika. Bali unakuwa umewekwa tu kwenye angle nzuri ya mapenzi.
Waambieni ukweli hapa. Libwata lipo au halipo? Wapeni ushuhuda. Ila mimi nasema limbwata lipo. Nimelikwepa mara kadhaa kutoka kwa michepuko
Mshana Jr
Latina ushirikina wote ogopa uchawi huo wa limbwata,ogoa kabisa maana haukopeshi na wakati ukijiona uko sawa jamii itakuwa inakushaaView attachment 2342767
Binafsi najua limbwata lipo. Mtu akipigwa limbwata anafanya vitu ambavyo watu watamshangaa na yeye unawashangaa kwanini wanamshangaa. Omba sana katika harakati zako za mapenzi usipigwe limbwata.
Waambie ndugu na masela wakiona umepigwa kitu wakushtue, ukiwa mbishi wakubebe kinguvu wakupeleke kwenye maombi au kwa mtaalamu. Unakuwa hujijui.
Kuna baadhi wanasema hakuna limbwata ila ni mambo ya kufikirika. Bali unakuwa umewekwa tu kwenye angle nzuri ya mapenzi.
Waambieni ukweli hapa. Libwata lipo au halipo? Wapeni ushuhuda. Ila mimi nasema limbwata lipo. Nimelikwepa mara kadhaa kutoka kwa michepuko
Mshana Jr
Limbwata lipo aisee, na linaumiza sana. Mtu unafanya mambo ya kitumwa kabisa ila hujishtukii, unaona ni poa kabisa. Nilikuwa siamini, ila sasa nimethibitisha, ndugu yangu wa damu amekumbwa na hii jambo. Kijana mdogo ameishia kulea watoto wawili wasio wake - analipa ada za shule, mwanamke ameolewa ila kamroga na mumewe naye haongei kitu kuhusu huyo mwanamke.View attachment 2342767
Binafsi najua limbwata lipo. Mtu akipigwa limbwata anafanya vitu ambavyo watu watamshangaa na yeye unawashangaa kwanini wanamshangaa. Omba sana katika harakati zako za mapenzi usipigwe limbwata.
Waambie ndugu na masela wakiona umepigwa kitu wakushtue, ukiwa mbishi wakubebe kinguvu wakupeleke kwenye maombi au kwa mtaalamu. Unakuwa hujijui.
Kuna baadhi wanasema hakuna limbwata ila ni mambo ya kufikirika. Bali unakuwa umewekwa tu kwenye angle nzuri ya mapenzi.
Waambieni ukweli hapa. Libwata lipo au halipo? Wapeni ushuhuda. Ila mimi nasema limbwata lipo. Nimelikwepa mara kadhaa kutoka kwa michepuko
Mshana Jr
Huko kigoma nasikia kuna nyama ya friji.. Inapachikwa kwenye papa inakaa siku kadhaa inakuwa papa wemba, kisha unapikiwa wanatia na dawa zao ukila umeisha.
Jamaa yetu katelekeza familia dar,yupo kigoma mwaka wa 10 unaenda, hafikirii wala kurudi. [emoji23]
Hakunaga kitu kana hicho, ni ukenge tu wa mtu.
Thread 'Anahitajika mtaalamu (mganga) wa kumgandisha mwizi na mali aliyoiba sehemu alipoibia' Anahitajika mtaalamu (mganga) wa kumgandisha mwizi na mali aliyoiba sehemu alipoibiaLimbwata la gundi na kamba
Niko kijijini kwa mapumziko ya mwisho wa mwaka lakini pia nikiendelea kutafiti maarifa mapya na utaalam wa nguvu za giza, ushirikina na ulozi kwa matumizi chanya ya kilinge... Nia ikiwa ni kuwasaidia wahitaji. Hizi habari za malimbwata kwa ajili ya kumshika mpenzi, mke au mume... Na wengine...www.jamiiforums.com
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Shuntama si kitu Cha mchezo mchezo, unalishwa nyama ya maini imevundikwa kunako Quummma mwezi mzima kudadadeqqqq