Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.

Huyu mleta mada atakuwa mpemba yaani ule upole wa kipemba halafu anaonekana alishikwa sana na mwanamke
Hii inatokana na mwanaume kupenda sana Kqma.

Yaani unakuwa mlevi wa kqma na mwanamke anakuona ndio udhaifu wako. Na kwa akili kama hiyo unajiona kama huwezi pata mwingine.
 
Nilichogundua huyu Sisitwr ana akili sana kukuzidi na inaonekana Yeye ndiye anasupply bills za familia.
 
Mke wa mtu huwa ni mtamu mpaka siku utakapoambiwa ukalie chupa huku umepakwa reizi na kisha kupostiwa watsapp dunia ikuone
Mke wa mtu mpaka anakupa utamu wewe ujue Mume wake ni fala tu m hawezi kumufanya lolote.

Na atahakikisha anakulinda msikamatwe labda awe mwanamke mjinga.
 
Pole sana japo usaliti ni kwa mwanamke asie jitambua haijalishi ana mtoto single Mother au hana mtoto.

Kingine samahani kama nita kukwaza uzingatie kwenye uandishi kuna maneno kama uhamuzi ni uamuzi,hakaja ni akaja, Hakaniakikishia ni akani hakikishia ,aliyenishauli ni alie nishauri,akiri ni akili naona una shida ya L na R, A na H.

Pia kuna typing error kibao ukiandika kitu kabla ya kupost kipitie,na ukisha post kipitie tena kwenye makosa una edit.
 
Huo wako ni udayuthi (cuckold), upo radhi uone dada yako anatombwa-tombwa ovyo na kuzalishwa mitoto nje ya ndoa kuliko kustirika kwa kuolewa.

Ndoa ni heshima ndio maana ukimpa mimba mkeo utaona wazazi ,ndugu na jamaa zako wanakupa hongera ila ukimtia mimba binti usiyemuoa utaona kama utaambiwa hongera.

Acha ufedhuli na ubazazi wa kukataa ndoa.Sidhani kama mama yako mpaka umri aliofikia anakaa kwa mzee wako kama dayworker tu bila ya kuolewa. Kuwa na ghira (wivu) kwa mabinti zako ,dada zako na mama yako.
 
Mke wa mtu mpaka anakupa utamu wewe ujue Mume wake ni fala tu m hawezi kumufanya lolote.

Na atahakikisha anakulinda msikamatwe labda awe mwanamke mjinga.
Siku utakapoingia 18 ndio siku utajua kuwamke wa mtu ni sumu
 
Kama ni kisa cha kweli basi it is very fascinating
 
Noma sana!
 
Mkuu pole kwa yote lakini umetuaibisha sana.

At your 40s huwezi kuji control na kujiongoza sasa utamuongoza nani?

Mke wako alikosa kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…