Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.

😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 ⚡⚡⚡✨✨💥💥
 
Una roho mbaya sana. Wengine wameacha kwa bahati kwa ukorofi wa wanaume.

Unakula mbususu akikwambia ana mimba inakula kona sasa hapo single mam ana kosa gani?
 
Kuna muda hapo katikati ya uzi nimeshakuzaba vibao vingi mno, maana kuna uzoba kibao ulikuwa nao...

Wewe sijui ni Muha au Msukuma, huwa mnasumbuliwa sana na wanawake, sijui sababu ni ipi haswa...
Wasukuma wamezidi hasa kama ni mwanamke mweupe
 
Jamaa kanikalia kooni nyuzi zote anazochangia ananitaja [emoji1787][emoji1787] mpk za jamaa fundi bomba anasema km ke ni cute!!

Sasa nampa ofa ili mawenge yaishe afanye kazi za mama vizuri
Huyu DC anazingua
 
😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 😅 ⚡⚡⚡✨✨💥💥
Nimesoma uzi woote hadi comment ya mwisho no 365.

Nimetafakari na kuamua kuwa huyu single mother aliyeniganda sahivi na sasa ananiambia ana mimba yangu kesho namuita kiutu uzma nimpe kama kweli ana mimba kisha nimwambie basi tena sina shida na single mom.

Kiukweli ni watamu sana. Hawana hiyna. Hiyo BJs yake tu unazimia
 
Wazazi na dada zako walipangua mapema msemo wa “Mchuma janga hula na wa kwao” Janga ukaachiwa peke yako
 
Umetaja uchagani, nili muuliza baba yangu kwanini mwanamke aliyezaa kwao akifa anazikwa mpakani? Akaniambia mwanamke akisha zaa ni mke wa mtu.
 
Huyo mwanamke yuko wapi sasa
 
Hawa viumbe walahi mbiguni watapasikia tu, ukishamuoa tu akishaanza kula nakushiba bas anasahau kama Kuna shida na mambo mengine, Mimi hao kwangu nawaita chapa ilale.
 
This is tea
AKA hadithi njoo uongo kolea

Tunaze hivi
Mwanamke ambaye ameshazaa anajulikana hata kwa maumbile yake iweje mwaka na nusu usiambiwe au la uwezo wako wa kutindua mambo ni mdogo
Umesema alikuwa anarusha mambo mengi status na mawifi zake wa mchongo na inaonekana walikuwa washikaji je hukulitambua mapema??
Kuna sehemu ulienda Ununio Beach ukawaona na baby daddy wake na hujaambiwa kama wangeenda kuonana hv unadhani mume ambaye ameoa na ana mamlaka na mke wake anaweza asiende pale !!
No umetupanga
 
Muhimu uchukue watoto wako uwalee mwenyewe. Uo ni ushauri tu mkuu 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…