Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.

Sema ulifanya poa kumfukuza na shikilia hapo hapo usiachie mkuu

Wewe Ni mfalme [emoji7][emoji23]
 
Mpaka unabeba mimba na unazaa ni hakunaga cha bahati mbaya.
 
Huyo mkeo alilewa sifa za mawifi wahovyo na mama mkwe wa mchongo. Hiyo familia ya baba mtoto ni ya kihuni huni.
Familia ya kisela, kama bla ya kuona tujitahidi kujua mira na tamaduni za wapenzi wetu , mtoa kisa kuna sehemu alishauriwa na Mzee wake ushauri mzuri tu wakuchunguza tabia za familia ya mwanaume na mke wake wana tabia gani.
 
Familia ya kisela, kama bla ya kuona tujitahidi kujua mira na tamaduni za wapenzi wetu , mtoa kisa kuna sehemu alishauriwa na Mzee wake ushauri mzuri tu wakuchunguza tabia za familia ya mwanaume na mke wake wana tabia gani.
Upo sahihi mkuu na alikataa kufuata ushauri wa wazazi wake akafuata moyo wake kuamua.
 
Pole mkuu,asiyesikia la mkuu huvunjika guu!Ndio wewe.
 
Mpaka unabeba mimba na unazaa ni hakunaga cha bahati mbaya.
Kabisa mwanamke akizaa unue ametaka. Mwanamke ambaye hataki mimba yupo makini hatari. Kuna mmoja nilitaka zaa nae loh, aisee yaani ukiwa unamtomber yupo stand by kabisa akiona nakaribia kumwaga ananisukuma huko🤣🤣🤣🤣.
 
Kwahio jamaa alikua anapata huduma zote ndio maana alivyohamishwa mkoa akakumbuka kuoa.

Ila huyo dada mjinga sasa amekua single mama twice.
 
Umetaja uchagani, nili muuliza baba yangu kwanini mwanamke aliyezaa kwao akifa anazikwa mpakani? Akaniambia mwanamke akisha zaa ni mke wa mtu.
yes kabisa ni mke wa mtu tayari huyo ila sahivi naona wanawazika nyumbani. ukweli ni kwamba kuoa single Maza ni shughuli pevu embu fikiria kule aliko zalia wanamuita Shemeji na wifi kwa sababu ya damu yake tayari iko kule.. kumbuka awali ni awali tu

ushauri wangu ukioa single maza umeoa mke wa mtu. period.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna jirani yangu mkewe alisema wale wakwe zangu, mume akamuuliza, wale ni wakwe zako? Mume akamwambia kule ulisha toka wale sio wakwe zako. Pia kuna siku jamaa aliye mzalisha alipiga simu usiku mume akapokea jamaa akamwambia hebu mpe huyo malaya simu. Mume akasema usimwite mke wangu malaya jamaa akajibu huyo ni malaya, alinidanganya huyo mtoto wapili ni wangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…