Ushuhuda mwanaume mwenzenu: Nilioa Single Mother yalioyonikuta ni haya. Nilichukua uamuzi huu.

Tatizo tukizaa nao wakipata wanaume wengine wanajiona Sana Sana na kutudharau sisi wazazi wenzao ndio maana tunaamua kuwaharibia
 
Mwanamke akishazalishwa na kuachwa huyo ni wakubutua butua tuu hamna jipya tena. Wee mwanaume mwenzio kashindwa kuishi nae wee wataka kumuoa wa nini? Kula mbususu yake basi. Kama anataka mtoto mwengine mpe ila usioe
πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™ Ndio inavyotakiwa masingle mother ni mahala pakutest mbegu weka mbegu pita hivi
 
Idiot
 
Ila nahisi wakati penzi lenu lipo moto ulimzingua Sana mzazi mwenzie kwa kujiona wee ni kidume ndio maana jamaa akaamua kutumia Kila mbenu akumegee.
Mimi nilizaa na mwanamke tukaachana akaolewa jamaa akaanza kuzingua hataki hata nimuone mwanangu na kunipigia simu za kashfa eti nashindwa kumhudumia mtoto hivyo nisimtambue kama mwanangu nilimvutia Kasi nikatafuta maokoto nikaamza kumlia mkewe Tena kwa madharau
 
Mimi kama muhanga wa kuwa na mahusiano na single mothers,,,,nashauri hivi,,""kama ukitaka kuwa na mahusiano yenye upendo na FURAHA na single mothers hakikisha huyo mwanamke amekuonesha kaburi la Mzazi mwenzake pamoja na vyeti vya kifo vya Mzazi mwenzake na jina la kwenye cheti Cha kifo liendane na jina kwenye kaburi la Mzazi mwenzake "

NB:Mwanaume anapaswa kuanzisha familia yake na sio kujiunga kwenye familia ya Mtu mwingine...(single mother sio wa kuoa ni incubator ya kuzalishia watoto)
 
Huu uzi nausoma mara ya nne leo, ntautumia kama rejea
 
Huu uzi ni kweli au ni utunzi unaolenga kutukumbusha kuhusu hawa ma single mom?

Yote kwa yote ahsante sana
 
Single parents waoane wenyewe kuepusha hizi drama, yaani "man alone" unaanzaje kuingia kwa ndoa na mdada ana watoto, unaanza drama kabla mda wake haujafika.
 
Single parents waoane wenyewe kuepusha hizi drama, yaani "man alone" unaanzaje kuingia kwa ndoa na mdada ana watoto, unaanza drama kabla mda wake haujafika.
Wengi wao wanakuwa na asila tena umkute single mother kazalishwa na mume wa mtu au kijana na huyo Baba mtoto kaingia mitini huduma hakuna.
 
Sasa naona uzi umefanya nihitimishe kabisa suala la kujaribu kuoa single mother.

SITOOA SINGO MAZA hata iweje.
Ni hatari mkuu we fanya utafiti wako wa kuingia kwenye mahusiano ya Single mother na Mwanamke ambae haja zalishwa utaona utofauti mkubwa sana, Single mother wao wapo kwaajili ya mtoto wake yani yupo tayari uwe masikini, tofauti na Mwanamke ambae haja zaa yeye mtazamo wake upo tofauti kuhusu uchumi wa familia.
 

Vip hawa ambao hawajazaa ila wametolewa bikra tayar.

Nao siwatakua wanamuwaza aliewatoa bikra?

Mi naona saiz tufanye mabadiliko ya katiba ili tuwetunazingatia na bikra.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…