USHUHUDA: Nakataa Duniani sisi siyo wapita njia, tusipuuze Kitabu cha Zaburi na Warumi

USHUHUDA: Nakataa Duniani sisi siyo wapita njia, tusipuuze Kitabu cha Zaburi na Warumi

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Mungu katuumba sisi wanadamu Kwa akili tena Kwa mfano wake, na hii iko bayana ya kwamba mara kadhaa anatukaimisha majukumu yake, na ametupa uwezo huo sio kwa bahati mbaya.

Mungu katuleta hapa duniani kwa kusudi kubwa sana, hapa tulipo tunapoishi kama miungu wenye umungu ndani yetu kila hatua ndio tunatimiza ya Mungu hasa yale yanayo mpndeza yeye.

Tusiwasikilize wazushi wenye roho dhaifu, za woga na umasikini eti kujifariji utasikia hapa duniani sisi tu wapitaji tusiringe, tusijifanye huu ujinga, yaani nisiringe nikiwa natimiza yafaayo kwa Mungu. Nikifanya mazuri ya Mungu naringa sana tena hadi niwakere ili watubu dhambi zao.

Mungu sio mjinga watoto wana zaliwa kila dakika kwa hio hao watoto wanakuja likizo kuzaliwa kwao?

Tumia computer zetu za akili vizuri, kila mtu awaye yeyote ni malaika wa Mungu katika uzao wa mama yake na mbegu ya kiume haifanyi kazi bila kupewa upako na malaika wenye kuweka umungu ndani ya kiumbe atakae zaliwa.

Tupo hapa duniani kwa kusudi kubwa sana la kuishi kwingi Kwa kumuishi utukufu wake na yote yafaayo kwake.

Tusome zaburi ya 86 yote na Warumi sura ya 10 yote ndio mtaelewa.

Shalom.

Amani ya bwana iwe nasi pamoja na Argentina.
 
Sio KILA mbegu ya kiume utoka kwa Mungu zingine utoka KWA shetani, thus kabla ya tendo la kupata mtoto ni ulinzi kumuomba MUNGU, maana shetani anaweza akatia mbegu zake ukazaa nusu binadamu nusu jinni, haya upimwa kwa matendo ya mtu husika. Mtu wa Mungu utenda ya kiMungu. Mfano wa nusu binadamu nusu jini ni watu kama Adolf Hittler, Iddi Amini Dada, Bokasa, nk.

Hittler alikuwa ni shetani aliyeuvaa mwili wa binadamu alikuja duniani kwa mpango maalumu. Baada ya kutimiza lengo akarudi kuzimu, ni SAwa na yule daktari aliyeleta corona China baada ya mission akapotea kurudi kuzimu. So sio KILA mbegu ya kiume Ina uvuvio wa kiMungu.
 
Duniani sio makao ya milele sisi ni wapangaji thus leo upo kesho haupo, umilele ni jehanamu au paradiso. Duniani, kuzimu, mbinguni ni makao ya mda tu ya wanadamu.
 
Duniani sio makao ya milele sisi ni wapangaji thus leo upo kesho haupo, umilele ni jehanamu au paradiso. Duniani, kuzimu, mbinguni ni makao ya mda tu ya wanadamu.
Haina haja ya wasiwasi pale ulipo ndio upo hapo ishi kwa namna ifaayo macho I pa Bwana.
 
Mbingu ni za Mwenye Enzi Mungu na Dunia ametupa sisi wanadamu!
Ambao wanaishi hapa Duniani kama wapo transit, I guess waendelee tu walahi!
 
Mbingu ni za Mwenye Enzi Mungu na Dunia ametupa sisi wanadamu!
Ambao wanaishi hapa Duniani kama wapo transit, I guess waendelee tu walahi!
Sisi tunaomwamini tupo sana hapa duniani
 
Back
Top Bottom