Ushuhuda:natumia zaidi ya elfu 20 kwa siku.

Sijui sijaelewa au ni nn
Sisi unatuambia haya ili??
Ni kwamba unajisifia au??siulizi kwa.mabaya am just stranded
 
Nipo kwenye taasisi Fulani ya serikali Mambo ya mazingira sio vizuri kuitaja hio ofisi lakini nipo kama mtaalamu Wao techinian
Vizur mkuu na Mimi ni kijana kama wew au yawezekan unanizid nina 20 years
lakin yawezekana sikufikii kimapato

make wew utakuwa juu kutokan na ujumbe wako

Lakin siachi kukushauri jaribu kushusha bajet na umake asset big

Au hauna ndoto ya kuendesha range Rover big
 
Tatizo unapeleka sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…