Ushuhuda: Nimepata followers laki 2 na elfu 80+ instagram kwa sababu ya kukomenti tu

Ushuhuda: Nimepata followers laki 2 na elfu 80+ instagram kwa sababu ya kukomenti tu

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Wakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.

Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.

Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.

Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.

Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.

Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.

Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.


Na wewe sema " Napokea"
 
Wakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.

Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.

Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.

Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.


Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.

Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.

Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.


Na wewe sema " Napokea"
Well done 37 years boy...😊
 
Back
Top Bottom