Ushuhuda: Nimepata followers laki 2 na elfu 80+ instagram kwa sababu ya kukomenti tu

Ushuhuda: Nimepata followers laki 2 na elfu 80+ instagram kwa sababu ya kukomenti tu

Nje ya mada...hivi yule Xavier ni mtu mmoja au kikundi cha watu? Mtu gani ana jibu la kila swali tena bora yangekuwa majibu ya kawaida [emoji1787][emoji1787]
Ni mtu mmoja. Ni kama Oscar Oscar tu. He is genius
 
Nje ya mada...hivi yule Xavier ni mtu mmoja au kikundi cha watu? Mtu gani ana jibu la kila swali tena bora yangekuwa majibu ya kawaida [emoji1787][emoji1787]
Xavier mwenyewe sasa
 

Attachments

  • 1692290707754.jpg
    1692290707754.jpg
    22.2 KB · Views: 3
Wakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.

Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.

Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.

Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.

Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.

Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.

Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.


Na wewe sema " Napokea"
Chai
 
Wakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.

Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.

Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.

Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.

Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.

Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.

Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.


Na wewe sema " Napokea"
Chai
 
Kuna hizo pisi za kwa Madiba unaweza honga uhai.
😂😂😂 Utafikiri wameshushwa Ila cameras noma kuna jamaa alipiga picha tukiwa Chuo akatumia iPhone macho matatu yaan ile picha na mandhari ya pale ni vitu viwili tofauti eneo ni local Ila limetoka km mbele km manipulation pameonekana km beach kumbe hata sio beach na ile minazi, cameras noma
 
🙆🙆🙆Mh ngoja ntafute Moja nimtumie atakachonijibu nitakutumia
Decii ni.msichana kwa.kimbulu
Hydorii ni salamu nilikuwa na demu wangu mbulu alikuwa ananifundisha
 
Wakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.

Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.

Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.

Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.

Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.

Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.

Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.


Na wewe sema " Napokea"

Mnaandaliwa kutapeliwa wadau, msiseme hamjaambiwa
 
Decii ni.msichana kwa.kimbulu
Hydorii ni salamu nilikuwa na demu wangu mbulu alikuwa ananifundisha
🤣🤣🤣🤣Sasa mbn ni kam umenisalimia mm kama mdada na wakati mi dume la mbegu au nimechanganya madesa
 
🤣🤣🤣🤣Sasa mbn ni kam umenisalimia mm kama mdada na wakati mi dume la mbegu au nimechanganya madesa
Dah nikajua mdada aisee. Hapo kwenye decii weka Garmaa.
 
Weka picha vinginevyo hii ni Chai ya tangawizi .
 
Back
Top Bottom