Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅🤣😅😅Gram ni kwaajili ya kuangalia uumbaji wa Mungu na habari za sports tu. Kuna hizo pisi za kwa Madiba unaweza honga uhai.
ChaiWakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.
Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.
Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.
Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.
Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.
Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.
Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.
Na wewe sema " Napokea"
ChaiWakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.
Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.
Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.
Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.
Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.
Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.
Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.
Na wewe sema " Napokea"
🙆🙆🙆Mh ngoja ntafute Moja nimtumie atakachonijibu nitakutumiaDecii hydorii?
Hy ndo LIKUD MajinKupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.
Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.
😂😂😂 Utafikiri wameshushwa Ila cameras noma kuna jamaa alipiga picha tukiwa Chuo akatumia iPhone macho matatu yaan ile picha na mandhari ya pale ni vitu viwili tofauti eneo ni local Ila limetoka km mbele km manipulation pameonekana km beach kumbe hata sio beach na ile minazi, cameras nomaKuna hizo pisi za kwa Madiba unaweza honga uhai.
Wakati wa vuguvugu la corona niliamua kufungua account ya ziada instagram kwa ajili ya kuwa huru kukomenti chochote.
Fast forward now account yangu ina followers laki 2 na 80.
Nimepata followers hao kwa sababu ya kukomenti tu kama ' Xavier" wa Quora.
Kila nikicomenti kwenye trending issue na uhakika wa kupata followers kuanzia 200 hadi 400.
Kupitia account yangu hii najiingizia kipato ambacho sikuwahi kudhani naweza kuipata for just doing what I like.
Sasa hivi nimeanza kukomenti hadi kwenye account za Wanaijeria na Marekani na nikaona muitikio unakuwa mkubwa.
Wakifika followers milioni moja nitakuja kuwapa mrejesho hapa.
Na wewe sema " Napokea"
🤣🤣🤣🤣Sasa mbn ni kam umenisalimia mm kama mdada na wakati mi dume la mbegu au nimechanganya madesaDecii ni.msichana kwa.kimbulu
Hydorii ni salamu nilikuwa na demu wangu mbulu alikuwa ananifundisha
[emoji23][emoji23]Chai