USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu

USHUHUDA: Ninavyoyamudu maisha kupitia kilimo cha mbogamboga ndani ya ekari moja tu

Wakuu , pole na hongereni na weekend !

Mimi nimeamua kudeal na kilimo cha mazao ya mbogamboga kwenye eneo langu lenye ukubwa wa ekari moja ninalolimiliki mwenyewe baada ya kulima kwa kukodi mashamba ya watu.

Nalimia Chekereni - Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro.Kandolando ya barabara kuu ya Moshi - Dsm. Ni mbele kidogo ya Njia Panda ya Himo (Kwa wale wenyeji).

Niliacha kazi niliyokuwa nimeajiliwa baada ya kutofautiana na mwajiri wangu (TPC - Moshi) na kuamua nilime tu.

Nilianza Kwa kukodi shamba la ekari 1 kwa TZS 300,000 kwa msimu nikapanda pilipili Hoho aina ya F1.Zao hili huhitaji roughly siku 100 na huendelea kuzaa na ukachuma hata michumo 10 endapo unaendelea kutoa huduma nzuri. Roba 1 la hoho ni kati ya 80 mpaka 100k. Hapa nilipiga hela nzuri sana, zaidi ya 2 mil.

Msimu uliofuata nikaweka cabbage na kuipa matunzo vizuri.Mungu si athumani nikapatamo hela nzuri tu.


Misimu miwili iliyofuata nikalima kitunguu maji aina ya Neptune. Hii mbegu inatoa vitinguu vikubwa na vizuri sana , hupendwa sana na wafanyabishara wa Kenya.

Kifupi ndo hivyo , mambo yanaenda.

Tujikite na kilimo.

Start with small but very smart !
safi sana mkuu
 
Sua mipapai inadoda haina ht wateja..inaweka vidonda balaa bora maembe wanauza..ila papai wamefeli..yaan mm samak na kilmo nakudadavulia km nameza maji...uzuri wataalam ukikaa nao fresh anakuambia bora ulime 15 acres..n uwe kbs na soko.zuri mapema kbs..hizi eka 1 au 2 bora umzalie mumeo tu mtoto..

wabongo hatupigii hesabu vitu lukuki hata ule muda wakukaa shamban nao ni hela..unajikuta una xtra ya 400k..manina
Nashukuru Mungu nilishafanya kilimo..tena kwa kupewa buure bwana shamba wa sua..heheh...kilimo sio rahis km alivyoandika..atupe mahesabu hapa na bei ya mbegu za vitunguu ..na alitumia aina ipi ya umwagiliaj kwa hizo siku 100..na alitumia sh ngap kwa vibarua...hapa kun vibarua wa3.
1.wakulima tractor
2.kuweka mabox au matuta na zile furrows kupitisha maji..wana bei zao..azawaizi alisaidiwa na mama zake wadogo
3.wakuangalia shamba plus msos kwa 100dys!
kama hujikuti unabak na 200k..alafu et eka 1😂😂😂...
pluz madawa☺
We ni ny.oko ma.mae dah umetisha mkuu!
 
Biashara mkuu inakuwa inategemea vitu viwili Demand & Supply
Ili Demand ikiwa kubwa inasabisha Supply kuwa kubwa na bei kuwa nzuri

Sasa mkuu wote tukilima mboga mboga huoni kuwa Demand itakuwa chini alafu bei itakuwa mbaya then kila aliyelima atapata hasara

Angalia kilimo cha Nyanya kinavyo waumiza watu pale Dumila Morogoro
Umechanganya maelezo kwenye demand vs supply.
 
Mwaka 2017 hubby alikua ana kitete kweli cha kufuga samak..kila navyoona pale sua vusamak vinavyotoka km kiganja nasema hapNa..nikaja mtafta mtaalam hahaa aliniambia hvi..shem km unataka kufanya biashara ya ufugaji samaki anza na 40 au 50m..chin ya hapo naogipa kula hela yako...yaa hata hawa wataalam wanajua kbs..ila ss wanakujia na idea za ufugaji wa samak kwenye diaba...!Mungu awakemee!
Karibu utembelee mabwawa yangu ya Samaki,utajifunza kitu
 
Wakuu , pole na hongereni na weekend !

Mimi nimeamua kudeal na kilimo cha mazao ya mbogamboga kwenye eneo langu lenye ukubwa wa ekari moja ninalolimiliki mwenyewe baada ya kulima kwa kukodi mashamba ya watu.

Nalimia Chekereni - Moshi Vijijini Mkoani Kilimanjaro.Kandolando ya barabara kuu ya Moshi - Dsm. Ni mbele kidogo ya Njia Panda ya Himo (Kwa wale wenyeji).

Niliacha kazi niliyokuwa nimeajiliwa baada ya kutofautiana na mwajiri wangu (TPC - Moshi) na kuamua nilime tu.

Nilianza Kwa kukodi shamba la ekari 1 kwa TZS 300,000 kwa msimu nikapanda pilipili Hoho aina ya F1.Zao hili huhitaji roughly siku 100 na huendelea kuzaa na ukachuma hata michumo 10 endapo unaendelea kutoa huduma nzuri. Roba 1 la hoho ni kati ya 80 mpaka 100k. Hapa nilipiga hela nzuri sana, zaidi ya 2 mil.

Msimu uliofuata nikaweka cabbage na kuipa matunzo vizuri.Mungu si athumani nikapatamo hela nzuri tu.


Misimu miwili iliyofuata nikalima kitunguu maji aina ya Neptune. Hii mbegu inatoa vitinguu vikubwa na vizuri sana , hupendwa sana na wafanyabishara wa Kenya.

Kifupi ndo hivyo , mambo yanaenda.

Tujikite na kilimo.

Start with small but very smart !
mkuu kwema, bado unafanya kilimo?
 
Kilimo ni biashara kama biashara zingine za uwekezaji ,kadili unavyowekeza ndivyo faida unavyozidi kupata pia kucheza na masoko...unawekeza laki mbili unategemea uvune M10 .

Mnao lalamika ndio wale walio hamasika na watu walio toboa kwenye kilimo mkaingia kichwa kichwa saizi mnapiga kelele ohh kilimo hakilipi sijui Hela ya kulimia Bora umzalie mume.....kilimo kigumu sana wakati unakianza ghalama za uendeshaji zinakuwa kubwa na siku zote kilimo ni uwekezaji na masoko.

Mfano hapa nyumbani kilombero tatizo wakulima wengi wanalima kibahiri Yani shamba hatiliwi mbolea ya kutosha wadudu wanashambulia hawapigi dawa ya uhakika matokeo yake msimu wa mavuno ukifuka kipato kidogo kinapatikana na yeye mpunga huo huo anategemea afanye chakula , afanyie maendeleo na ndio kama soko likishuka kile kidogo alichotenga kuuza kinarydisha faida ndogo hapa ndio kilimo kinaonekana kigumu.

Endeleeni kuvunjana moyo wenzenu wanasomesha watoto, wanafanya maendeleo makubwa
 
Back
Top Bottom