Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo imani iliyoku2ma kupiga lager baada ya kupona??? Ni ya Mungu gani?Mimi nilikuwa kisukari nikaenda kwa babu na nimepona kabisa, na sasa hivi napiga lager vizuri tu na mazaga zaga mengine ambayo nilikuwa situmii... Kumbuka imani nendo pana sana ambalo ndani yake kuna mambo mengi mno, huwezi kuniambia kuwa ulikuwa na imani ya kupona wakati ujatengeneza mapito yako.
This is a b..... f..... government and their leaders -- kuendekeza vitu vya imani huku watu wanakufa. Katika miaka ya mwanzoni ya 80 Nyerere alimfukuza kasi DC mmoja (enzi hizo wakiitwa ma-AC) Idi Sungura kwa kuendekeza mambo kama haya.
Gazeti la The African la Jumamosi hii lina habari ukurasa wa mbele kuhusu malalamiko ya mratibu wa masuala ya HIV/Aids Mkoa wa Manyara aitwaye Elizabeth akisema tangu Babu aanze tiba yake wanaokwenda kupima vvu kwa hiari kutoka mkoa huo na wale wanaoutumia ARVs imepungua sana. Gazeti lilimnukuu mratibu huyo akilalamika kwamba wanaogua ukimwi hawaendi kupata dawa zao kama zamani na akasema kwamba wala hawaendi kupima tena wanaporudi baada ya kupata kikombe kwa babu.
Hii sasa ni hatari -- ile kampeni nzima ya JK aliyoanzisha ya kupima vvu kwa hiari sasa inakufa na watu wanakufa, huku yeye mwenyewe wala hatoi tamko lolote -- kwa mfano kuwahimiza wale wenye vvu wakitoka kwa Babu waendelee na ARvs.
Pole sana, watu wamepona wengi tu. Ili wewe naona issue yako ni serious anza kuhesu siku
Mkuu Zak:
Habari yenyewe katika gazeti la The African la Jumamosi iliyopita ni hii hapa: Inasikitisha sana na sijui serikali ya JK inasena niniu kuhusu kampeni ya vita dhidi ya ukimwi hapa nchini. Anakalia mambo ya kishirikina tuuuu!
BABU'S MAGIC CUP: Hundreds now abandon HIV testing centres, ARVs
By Fortunatha Ringo-Babati
THE Government's support to Pastor Ambilikile Masapila ‘magic drug' that is believed to have the ability to cure chronic diseases including HIV/AIDS may result into complete closure of Voluntary Counselling and Testing (VCT) centres as well as ARVs providing centres in Manyara Region, health expert has warned.
According to Manyara Region's Mother and Child Health coordinator Elizabeth Malley, since the emergence of the ‘magic drug' which has gained popularity countrywide and receive government support the number of people attending the clinics have dropped sharply.
Ms malley told this paper that, ‘magic cure' has made a lot of people in Manyara Region who were previously attending ARVs clinic to abandon it and opt for the ‘magic cure' hoping to get everlasting cure, adding that the Government support to it have even encouraged more others.
She said, following the situation, the ARVs providing centres have remained with a lot of drugs as the users are no longer coming to collect them.
The coordinator noted that, despite the fact that a good number of ARVs users have gone Loliondo to get magic cure non of them has ever come back and testify to have been cured by ‘Babu's medicine.'
"We urge those who were previously using ARVs and went to Loliondo for the ‘magic cure' to come forward along with their certificates indicating that they are living with AIDS so that we can test them and find out if they are now negative instead of just stopping using ARVs without a medical confirmation," she stressed.
She urged ARVs users who are going to Pastor Masapila for treatment to continue using the ARVs and condoms during sexual intercourse if they are not ready to get laboratory confirmation that they are negative to avoid new infections.
Speaking of mother to child HIV transmission in Manyara region she said the figure was high due to fact that men who are positive do not encourage their wives to attend clinic and test.
She further noted that, 54 per cent of women do not attend clinic while pregnant and as result they are giving birth at home hence they do not have access to education on how to avoid mother to child transmission thus increasing HIV cases.
Napenda kutoa ushuhuda wangu katika mjadala wa Loliondo ambao umekuwa ukivuma sana katika blog ya michuzi kwa siku za hivi karibuni. Nawapongeza vijana wetu wakina, Magidd Mjengwa, mashaka john na bwana Mwilima. Hawa vijana wameongea mengi sana ya maana, na ninaungana nao katika hili, kwani hakuna cha tiba wala cha nini kwa babu. Wale wote waliojifanya wamepona, ndo wale wanaokufa
Kwanza, mimi ni muhathirika wa ukimwi. Niliomba ruksa ya dharura ofisini, nikafungasha, na kuondoka kwenda kwa babu. Nilipata kikombe changu baada ya siku nne tu. Kwa sasa nadhani inachukua zaidi ya wiki au mbili kumfikia babu. Yalioyonikuta loliondo, naogopa hata kuadisia; tulilala nje kwa kipindi chote. Nilishudia watu waliokuja na dripu toka hospitalini. Kweri watu wamekata tamaa humu nchini. Baada ya kupata kikombe changu, nilirudi zangu DAR. Siku 12 zikapita nikawa situmii ARV's , ghafla hali yangu ikawa mbaya sana ikabidi nikimbizwe hospitalini. Nilizirudia ARV zangu na sasa hali yangu imeimarika kiasi
Rafiki yangu, mwenye virusi vya ukimwi naye alienda kwa babu, karudi, na kuanza kutangaza kwamba kapona. Jana hali yake ikawa mbaya kweli, ikabidi tumpeleke hospitali ya amana. Ina maana wiki tatu aliamini amepona, kumbe ugonjwa ukawa unamtafuna zaidi. Nadiriki kusema wazi kwamba sidhani yupo hata mmoja aliyepona kwa babu. Kilichonishangaza zaidi ni hali niliyoikuta loliondo.
Nikiwa kwenye foleni, watu wanne wamefariki pale nikiwatizama, ila kuna mdada wa makamu alikata roho akisubiri muda wake wa kupata kikombe. Cha ajabu, ndugu zake badala ya kuurudisha mwili wake kwao Dodoma, walijifanya kuondoka naye na matokeo yake kumtupa njiani kama kilometa 20 toka hapo kwa babu. Watu wengi wametupwa njiani, hasa pale ndugu wanaposhindwa na cha kufanya. Ili kuiokoa jamii dhidi ya magonjwa ya mlipuko huko loliondo na watu kutupwa kama wanyama polini, serikali inabidi iingilie kati, kwani hali ya loliondo ni mbaya zaidi na viombo vya habari vinatufichia ukweli...jamani, kuna kitu loliondo, kuna kitu kinafichwa. aliyepima kabla ya, na kupata matokeo negative baada ya, ajitokeze. mimi sikuluka foleni, na nilikuwa na imani mpaka hali yangu inakuwa mbaya nilidhania nimepona ukimwi....
Mollel
mh mrema kapona, anadunda
Napenda kutoa ushuhuda wangu katika mjadala wa Loliondo ambao umekuwa ukivuma sana katika blog ya michuzi kwa siku za hivi karibuni. Nawapongeza vijana wetu wakina, Magidd Mjengwa, mashaka john na bwana Mwilima. Hawa vijana wameongea mengi sana ya maana, na ninaungana nao katika hili, kwani hakuna cha tiba wala cha nini kwa babu. Wale wote waliojifanya wamepona, ndo wale wanaokufa
Kwanza, mimi ni muhathirika wa ukimwi. Niliomba ruksa ya dharura ofisini, nikafungasha, na kuondoka kwenda kwa babu. Nilipata kikombe changu baada ya siku nne tu. Kwa sasa nadhani inachukua zaidi ya wiki au mbili kumfikia babu. Yalioyonikuta loliondo, naogopa hata kuadisia; tulilala nje kwa kipindi chote. Nilishudia watu waliokuja na dripu toka hospitalini. Kweri watu wamekata tamaa humu nchini. Baada ya kupata kikombe changu, nilirudi zangu DAR. Siku 12 zikapita nikawa situmii ARVs , ghafla hali yangu ikawa mbaya sana ikabidi nikimbizwe hospitalini. Nilizirudia ARV zangu na sasa hali yangu imeimarika kiasi
Rafiki yangu, mwenye virusi vya ukimwi naye alienda kwa babu, karudi, na kuanza kutangaza kwamba kapona. Jana hali yake ikawa mbaya kweli, ikabidi tumpeleke hospitali ya amana. Ina maana wiki tatu aliamini amepona, kumbe ugonjwa ukawa unamtafuna zaidi. Nadiriki kusema wazi kwamba sidhani yupo hata mmoja aliyepona kwa babu. Kilichonishangaza zaidi ni hali niliyoikuta loliondo.
Nikiwa kwenye foleni, watu wanne wamefariki pale nikiwatizama, ila kuna mdada wa makamu alikata roho akisubiri muda wake wa kupata kikombe. Cha ajabu, ndugu zake badala ya kuurudisha mwili wake kwao Dodoma, walijifanya kuondoka naye na matokeo yake kumtupa njiani kama kilometa 20 toka hapo kwa babu. Watu wengi wametupwa njiani, hasa pale ndugu wanaposhindwa na cha kufanya. Ili kuiokoa jamii dhidi ya magonjwa ya mlipuko huko loliondo na watu kutupwa kama wanyama polini, serikali inabidi iingilie kati, kwani hali ya loliondo ni mbaya zaidi na viombo vya habari vinatufichia ukweli...jamani, kuna kitu loliondo, kuna kitu kinafichwa. aliyepima kabla ya, na kupata matokeo negative baada ya, ajitokeze. mimi sikuluka foleni, na nilikuwa na imani mpaka hali yangu inakuwa mbaya nilidhania nimepona ukimwi....
Mollel
Ushauri wa bure kwa wanaoishi na vijidudu vya Ukimwi ni kwamba hata baada ya kupata kikombe cha babu inashauriwa uendelee na matumizi ya ARVs mpaka utakapopata negative results kwa sababu vijidudu hivi hupukutika kidogokidogo huku CD4 zikiongezeka. Inaweza ikachukua muda mrefu mpaka viishe vyote. Kwa hiyo huu muda wa kusubiri kama tayari hali ya mgonjwa ilikuwa siyo imara sana anaweza akapata attack ya magonjwa nyemelezi akapoteza maisha. Dawa inaponya lakini sidhani kama kwa haraka haraka hivyo kwa ugonjwa wa ukimwi.
Napenda kutoa ushuhuda wangu katika mjadala wa Loliondo ambao umekuwa ukivuma sana katika blog ya michuzi kwa siku za hivi karibuni. Nawapongeza vijana wetu wakina, Magidd Mjengwa, mashaka john na bwana Mwilima. Hawa vijana wameongea mengi sana ya maana, na ninaungana nao katika hili, kwani hakuna cha tiba wala cha nini kwa babu. Wale wote waliojifanya wamepona, ndo wale wanaokufa
Kwanza, mimi ni muhathirika wa ukimwi. Niliomba ruksa ya dharura ofisini, nikafungasha, na kuondoka kwenda kwa babu. Nilipata kikombe changu baada ya siku nne tu. Kwa sasa nadhani inachukua zaidi ya wiki au mbili kumfikia babu. Yalioyonikuta loliondo, naogopa hata kuadisia; tulilala nje kwa kipindi chote. Nilishudia watu waliokuja na dripu toka hospitalini. Kweri watu wamekata tamaa humu nchini. Baada ya kupata kikombe changu, nilirudi zangu DAR. Siku 12 zikapita nikawa situmii ARV's , ghafla hali yangu ikawa mbaya sana ikabidi nikimbizwe hospitalini. Nilizirudia ARV zangu na sasa hali yangu imeimarika kiasi
Rafiki yangu, mwenye virusi vya ukimwi naye alienda kwa babu, karudi, na kuanza kutangaza kwamba kapona. Jana hali yake ikawa mbaya kweli, ikabidi tumpeleke hospitali ya amana. Ina maana wiki tatu aliamini amepona, kumbe ugonjwa ukawa unamtafuna zaidi. Nadiriki kusema wazi kwamba sidhani yupo hata mmoja aliyepona kwa babu. Kilichonishangaza zaidi ni hali niliyoikuta loliondo.
Nikiwa kwenye foleni, watu wanne wamefariki pale nikiwatizama, ila kuna mdada wa makamu alikata roho akisubiri muda wake wa kupata kikombe. Cha ajabu, ndugu zake badala ya kuurudisha mwili wake kwao Dodoma, walijifanya kuondoka naye na matokeo yake kumtupa njiani kama kilometa 20 toka hapo kwa babu. Watu wengi wametupwa njiani, hasa pale ndugu wanaposhindwa na cha kufanya. Ili kuiokoa jamii dhidi ya magonjwa ya mlipuko huko loliondo na watu kutupwa kama wanyama polini, serikali inabidi iingilie kati, kwani hali ya loliondo ni mbaya zaidi na viombo vya habari vinatufichia ukweli...jamani, kuna kitu loliondo, kuna kitu kinafichwa. aliyepima kabla ya, na kupata matokeo negative baada ya, ajitokeze. mimi sikuluka foleni, na nilikuwa na imani mpaka hali yangu inakuwa mbaya nilidhania nimepona ukimwi....
Mollel
natapa kizunguzungu sijui which is which now!! Labda time will tell....