Al islaam sipuru
Member
- Oct 21, 2017
- 18
- 10
Habari zenu wakuu.
Leo nataka nilete ushuhuda kuna kitu nimekifanya na nashukuru kimenilipa tena kwa mara ya kwanza kabisa.
Leo nilienda kkoo kufanya research za biashara nikapiga picha baadhi ya vitu na kuvitupia mtandaoni. Wala sikua na hela ya kulipia.
Haikupita hata saa moja nikapokea simu watu wanahitaji. Wakanitumia hela pamoja na bidhaa wanayohitaji nami bila hiyana nikanunua kwa hela yao na kubaki na faida yangu nzuri tu.
Mzigo wao baadhi nishawatumia wengine nawatumia kesho. Na harakati zinaendelea pale pale. Kuna uzi hapa ulinifunua ndo chanzo cha mimi kuamua kujitupa huko.
Asante sana wakuu kwa uzi wenu
Leo nataka nilete ushuhuda kuna kitu nimekifanya na nashukuru kimenilipa tena kwa mara ya kwanza kabisa.
Leo nilienda kkoo kufanya research za biashara nikapiga picha baadhi ya vitu na kuvitupia mtandaoni. Wala sikua na hela ya kulipia.
Haikupita hata saa moja nikapokea simu watu wanahitaji. Wakanitumia hela pamoja na bidhaa wanayohitaji nami bila hiyana nikanunua kwa hela yao na kubaki na faida yangu nzuri tu.
Mzigo wao baadhi nishawatumia wengine nawatumia kesho. Na harakati zinaendelea pale pale. Kuna uzi hapa ulinifunua ndo chanzo cha mimi kuamua kujitupa huko.
Asante sana wakuu kwa uzi wenu