Ushuhuda; Uuzaji wa bidhaa bila kuwa na pesa

Asante sana mkuu bado naendelea na faida inaingia vzr tu jana nimetoka kusafirisha mzigo wa zaidi ya laki nne mteja aliniomba nimfanyie shopping
Kuna runaotaka kujifunza Mkuu naomba tupe mbimu bas
Mimi sio mchoyo mkuu akihitaji kujua na kujifunza na yeye anakaribishwa sana. Nipo tayari kumpa ujuzi ila rule no.1 asiwe na tamaa hata kidogo
 
This eroventurhbe! 'dynamicsd4d,'dics tic "tuu t
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…