WENYELE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,433
- 1,442
Katika hii dunia tunayoishi, unaweza ukamfanyia mtu kitu kidogo tu lakini ukabaki ndani ya historia ya maisha yake.
Jioni hii nikiwa nimejipumzisha na familia yangu ikawa imeingia sms kutoka kwa kijana aliyemaliza mtihani wake wa chuo wa mwisho akinishukuru.
Mnaweza mkakosoa shida zake za r/l hii ni kutokana na athari ya lugha yake mama lakini mimi kuiona nimefarijika kujua kuwa msaada niliyompatia ulikua na thamani (Nimemsaidia kutola Form I hadi kamaliza chuo).
Kushukru ni jambo la heri
Jioni hii nikiwa nimejipumzisha na familia yangu ikawa imeingia sms kutoka kwa kijana aliyemaliza mtihani wake wa chuo wa mwisho akinishukuru.
Mnaweza mkakosoa shida zake za r/l hii ni kutokana na athari ya lugha yake mama lakini mimi kuiona nimefarijika kujua kuwa msaada niliyompatia ulikua na thamani (Nimemsaidia kutola Form I hadi kamaliza chuo).
Kushukru ni jambo la heri