Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Bill gate anataka kucontrol africa population growth?Mkuu umejuajee kuwa hawa hawatoei mkuu,bill gates daily anatoa misaada all the word ndio ashindwe kutoaa fungu la kumi,kwan kutoaa fungu la kumi n dhambi mkuu ??iman yake yy mwandishi ndio ameani hvyo kuwa akitoa fungu la kumi atafanikiwa nayo n dhambi yy kusema???
Unajua maana yake nini?
Mungu wako kwanini ampe kingi mtu anayetaka kucontrol population growth considering alisema watu wake waje duniani kuijaza dunia?
Kwanini asikupe wewe kingi zaidi ya bill gate muovu?
Na unasemaje kuhusu Mo na Azam ambao wao hawana mandatory ya kutoa fungu la kumi?