Andrew Tate
JF-Expert Member
- Jun 28, 2020
- 4,503
- 6,861
Bill gate anataka kucontrol africa population growth?Mkuu umejuajee kuwa hawa hawatoei mkuu,bill gates daily anatoa misaada all the word ndio ashindwe kutoaa fungu la kumi,kwan kutoaa fungu la kumi n dhambi mkuu ??iman yake yy mwandishi ndio ameani hvyo kuwa akitoa fungu la kumi atafanikiwa nayo n dhambi yy kusema???
sio kila pesa zinatoka kwa Mungu, zingine zinatoka kwa shetani na mtu anakuwa ajenti wa shetani kusambaza mambo ya kishetani. hata hapa bongo kuna watu wana pesa lakini hawana Mungu, wanashinda kwa wanganga wa kienyeji, wametoa kafara watoto na ndugu zao na wana pesa kibao ambazo hazijatoka kwa Mungu. ila zina majuto. baraka tunazoongelea hapa ni zile zinazotoka kwa Mungu, pesa na uhakika wa maisha kwasababu upo mikononi mwa Mungu. jua shetani naye ana pesa huwa anawapa watu na kwa kupokea pesa hizo watu hao huwa wanapata thawabu ya kishetani. hao matajiri wa marekani na duniani wametoa pesa nyingi sana kuua watu (abortion) na hata kupandikiza magonjwa kwa watu ili watu waendelee kuugua na wao waendelee kuuza madawa kwa magonjwa waliyoyatengeneza. ni maajenti wa shetani. hapa tunaongelea watu wanaopenda kumfuata Mungu ambao wameamua kupata pesa za Kimungu na sio za kishetani.Bill gate anataka kucontrol africa population growth?
Unajua maana yake nini?
Mungu wako kwanini ampe kingi mtu anayetaka kucontrol population growth considering alisema watu wake waje duniani kuijaza dunia?
Kwanini asikupe wewe kingi zaidi ya bill gate muovu?
So unasema na kusupport kauli ya masikini wabaki masikini na matajiri waendelee kuwa matajiri?kuna baraka na pesa za aina nyingi. kuna pesa zinatokana na mashetani, freemason, majini n.k, pia kuna pesa zinatoka kwa Mungu kabisa. sisi tunaomwamini Mungu tunaamini kwamba, "baraka za Mungu hazina majuto". yani Mungu akikubariki hutajuta, hutatoa kafara, ni furaha. unaweza usiwe na pesa kama za hao matajiri wa dunia lakini ukawa tajiri kwa kuwa na Mungu anayekupa provisions, na pia anayekupa uzima. Mungu ndiye ameshikilia pumzi za wote, na Biblia inasema Mungu ndiye atupaye utajiri. namshukuru Mungu kwasababu ananipa baraka na ninaye yeye kwenye maisha yangu, kuliko mabilioni ningekuwa nayo lakini sina Mungu...sihitaji hilo.
So unasema na kusupport kauli ya masikini wabaki masikini na matajiri waendelee kuwa matajiri?sio kila pesa zinatoka kwa Mungu, zingine zinatoka kwa shetani na mtu anakuwa ajenti wa shetani kusambaza mambo ya kishetani. hata hapa bongo kuna watu wana pesa lakini hawana Mungu, wanashinda kwa wanganga wa kienyeji, wametoa kafara watoto na ndugu zao na wana pesa kibao ambazo hazijatoka kwa Mungu. ila zina majuto. baraka tunazoongelea hapa ni zile zinazotoka kwa Mungu, pesa na uhakika wa maisha kwasababu upo mikononi mwa Mungu. jua shetani naye ana pesa huwa anawapa watu na kwa kupokea pesa hizo watu hao huwa wanapata thawabu ya kishetani. hao matajiri wa marekani na duniani wametoa pesa nyingi sana kuua watu (abortion) na hata kupandikiza magonjwa kwa watu ili watu waendelee kuugua na wao waendelee kuuza madawa kwa magonjwa waliyoyatengeneza. ni maajenti wa shetani. hapa tunaongelea watu wanaopenda kumfuata Mungu ambao wameamua kupata pesa za Kimungu na sio za kishetani.
shetani ni mwizi na baba wa wezi, Mungu ana njia zake za utajiri na shetani ana njia zake za utajiri. ukweli huu unaujua, ukitaka ufuate, usipotaka acha.So unasema na kusupport kauli ya masikini wabaki masikini na matajiri waendelee kuwa matajiri?
Kwanini mungu anamuachia shetani aendelee kufanya uchafu duniani ikiwa yeye ndio mwenye nguvu ya kumuangamiza?
Mungu anajua yote means kabla hajakuumba tayari anajua kwamba wewe utakuwa masikini au tajiri na kama atakuchoma moto au peponi.
Kama ni hivyo then fungu la kumi la nini?
Usinilishe maneno. wapi nilisema akisema alichoamua kukisema in free country kama tanzania ni dhambi?Mkuu umejuajee kuwa hawa hawatoei mkuu,bill gates daily anatoa misaada all the word ndio ashindwe kutoaa fungu la kumi,kwan kutoaa fungu la kumi n dhambi mkuu ??iman yake yy mwandishi ndio ameani hvyo kuwa akitoa fungu la kumi atafanikiwa nayo n dhambi yy kusema???
Sijauliza kuhusu kufuata wala kutofuata.shetani ni mwizi na baba wa wezi, Mungu ana njia zake za utajiri na shetani ana njia zake za utajiri. ukweli huu unaujua, ukitaka ufuate, usipotaka acha.
For 100% percent immeasurably sure.Mkuu una uhakika na unacho kinena?
shetani ni mwizi na baba wa wezi, Mungu ana njia zake za utajiri na shetani ana njia zake za utajiri. ukweli huu unaujua, ukitaka ufuate, usipotaka acha.So unasema na kusupport kauli ya masikini wabaki masikini na matajiri waendelee kuwa matajiri?
Kwanini mungu anamuachia shetani aendelee kufanya uchafu duniani ikiwa yeye ndio mwenye nguvu ya kumuangamiza?
Mungu anajua yote means kabla hajakuumba tayari anajua kwamba wewe utakuwa masikini au tajiri na kama atakuchoma moto au peponi.
Kama ni hivyo then fungu la kumi la nini?
shetani ni mwizi, mali hizi zote unazoziona/dunia nzima, Mungu alitaka mwanadamu ndio atawale. shetani alipomdanganya akaiba toka kwa mwanadamu. ni Mungu peke ndio mwenye mamlaka ya kumshinda shetani, hata mwanadamu anapomshinda shetani ni kwa nguvu za Mungu sio zake, kwasababu shetani ana nguvu pia. hivyo anachofanya shetani ni kuiba mali na kuwapatia watu kwa masharti. Mungu ameweka mbele yako njia mbili, ya haki inayokupeleka uzimani na kwenye baraka zake, pia kuna njia ya mauti ya waovu ambayo ukiiendea unaishia mautini. hakulazimishi kufuata au kuamini neno lake, anachokifanya ni kukushauri tu kama hivi tunavyotumika kukushauri, hiari ya kufuata ni yako kwasababu utavuna kadiri ya kile utakachopanda.Sijauliza kuhusu kufuata wala kutofuata.
Bali nimeuliza kuhusu kwanini mungu ampe zaidi mtu anayepinga maagizo yake na kwanini asikupe wewe zaidi yake?
Na kwanini yeye mwenye nguvu na uwezo wote aendelee kumuacha shetani akitanua duniani na kuharibu viumbe wake?
Au unataka kusema kwamba hana uwezo huo?
You see contradictions right there?
Au unataka kusema mungu wako ana upendeleo?
Unaniambia kwamba mungu siyo muweza wa yote na mpanga yote?shetani ni mwizi na baba wa wezi, Mungu ana njia zake za utajiri na shetani ana njia zake za utajiri. ukweli huu unaujua, ukitaka ufuate, usipotaka acha.
shetani ni mwizi, mali hizi zote unazoziona/dunia nzima, Mungu alitaka mwanadamu ndio atawale. shetani alipomdanganya akaiba toka kwa mwanadamu. ni Mungu peke ndio mwenye mamlaka ya kumshinda shetani, hata mwanadamu anapomshinda shetani ni kwa nguvu za Mungu sio zake, kwasababu shetani ana nguvu pia. hivyo anachofanya shetani ni kuiba mali na kuwapatia watu kwa masharti. Mungu ameweka mbele yako njia mbili, ya haki inayokupeleka uzimani na kwenye baraka zake, pia kuna njia ya mauti ya waovu ambayo ukiiendea unaishia mautini. hakulazimishi kufuata au kuamini neno lake, anachokifanya ni kukushauri tu kama hivi tunavyotumika kukushauri, hiari ya kufuata ni yako kwasababu utavuna kadiri ya kile utakachopanda.
Bill gates, elon musk, jeff bezos na mark zuckerberg nitajie makanisa waliyoyajenga.Atajuliaa wap amejuropokeaa tu ,angejuaa hao hawaishii kutoaa fungu la kumi na makanisa na misikiti wanajengaaa
unaamini Mungu hawezi kukupatia pesa kutoka sehemu nyingine yeyote ila kweney investiments tu. kama angeleta toka kwenye investment usingekuwa muujiza manake hiyo ingekuwa haki yako uliyotolea jasho. nilichopata mimi ni neema ambayo sikuitolea jasho kabisa.Umepata sh ngapi? Imetoka kwenye investment gani? Au ni mtu kakuletea?
wewe naona huu ujumbe haukuwa kwa ajili yako. unatakiwa kwanza uokoke kwa kumkiri Yesu Kristo kama Bwana na Mwokozi wa maisha yako, ujiunge na watu waliookoka wakutoa tongotongo hilo ndio uje kujadili haya. Mungu akusaidie.So unasema na kusupport kauli ya masikini wabaki masikini na matajiri waendelee kuwa matajiri?
Kwanini mungu anamuachia shetani aendelee kufanya uchafu duniani ikiwa yeye ndio mwenye nguvu ya kumuangamiza?
Mungu anajua yote means kabla hajakuumba tayari anajua kwamba wewe utakuwa masikini au tajiri na kama atakuchoma moto au peponi.
Kama ni hivyo then fungu la kumi la nini?
trust me, sijauza ndaga, wala chochote kisicho haram. kwa Neema yake, Mungu amemtuma mtu toka huko Ulaya, aweke pesa kwenye akaunti yangu bure, unconditionally. He and his wife just wrote to me kwamba wamekuwa wakifree some monies in their accounts hivyo wameamua waweke gift ya kiasi fulani cha pesa kwenye account yangu kama zawadi (ambacho kwa hela ya madafu ni milioni nyingi kwa kweli), na ndivyo ilivyotokea. kwangu ni coincidence kwasababu imekuja mara tu baada ya kutoa fungu la kumi, wana watu wengi lakini wamechagua kuweka hela hizo kwangu, wangeweka hata kwa watoto yatima, why me? walikuwa family friend ambao sikutegemea kama wangeguswa hivyo kwasababu wanayo mahusiano ya kifamilia na watu wengi pia.Kwa hiyo, hiyo 10m uliyopata kwa kuuza ndaga , ndiyo unaamini ni Mungu kakupa?
Basi sawaFor 100% percent immeasurably sure.
hapana, sina mpango huo kabisa. nilichoongea ni kitu toka moyoni na hadi sasa kwa waliosikia wamesikia, wasioona na kukiamini shauri yao. mimi nilikuwa niongee na nilishindwa kunyamaza. ahadi za Mungu ni za kweli na amina, kile alichosema kinatimizwa kwetu hata leo hii.Unataka kufunga kanisa...
utaniwia radhi, lakini penye ukweli naomba niseme ili ninawe mikono kwako. siku utakapokuja kugundua kuwa ulipoteza muda sana kuamini bikira maria na ekarist za kidini, it will be too late for you. unahitaji kuokoka na sehemu ulipo hapana wokovu, hata wale wana uamsho wanaojaribu wanafukuzwa.Ngoja nikushambulie kidogo....
Ogopa sana kuhisi huko uliko ndio sahihi kuliko pengine....
Hata mimi niwewahi kupata manufaa makubwa baada Tu ya kutoa sehemu ya 10% ya mapato yangu....
Ngoja nikupe uhalisia...
Mwezi wa 8 mwaka jana mmoja wa marafiki zangu alikuja kunitembelea ofisini na hivyo kufanya uhalifu wa kuiba fedha (mapato) ya taasisi ninayoifanyia kazi.... Hali iliyonipekea kuwa na changamoto ya kukosa usingizi kwasababu ya fedha iliyoibiwa ijapokuwa uongozi wa Taasisi uliamua kuisamehe ile fedha baada ya mimi kumtajia muhisiwa ambaye wao wanamfahamu vyema kutokana na matukio yaliyowahi kutokea hapo nyuma kabla ya Mimi kuwa muajiriwa ndani ya hiyo taasisi...
So kuanzia August mpaka December sikuwa vizuri kifedha kwasababu nilijikuta naingia kwenye madeni yasiyoeleweka.... Nakumbuka yalifikia kama laki 756,000 sasa December 20 nilikuwa kwenye lindi la mawazo hivyo nikawa nawaza naanzaje 2022 nikiwa na madeni?
Ila neno ninalolitumia kila siku ninapokuwa kwenye changamoto ni MUNGU ANAJUA NI KIPI UNASTAHILI, MUAMINI ATATENDA.... Jioni niko kwenye kibarua ikapigwa simu nahitajika kwenye kikao cha siku 3 nje ya mkoa.... Lakini changamoto sina hata Mia mbovu.... Kawaida ofisi inafungwa saa kumi na mbili Ila Mimi nikajikuta nazidisha mpaka saa moja na nusu still niko kibaruani na huku nikiwa nawaza ni wapi nitaenda kupiga sound nipate atleast laki 2.5?
Mungu si athumani alikuja MTU saa mbili kasoro usiku akaniuliza kama naweza mpatia huduma hivyo nilimpa na akaongeza angependa watoto wake kama watano hivi wafanyiwe procedure ndani ya week hiyo nikamwambia inawezekana na akaomba aniachie advance ya laki 1.2 hivi so halafu akaondoka ... Naapa mbele ya Mungu nililia na nikajiuliza hivi inawezekana mimi ni mtoto wa mwisho wa Mungu mbona ananijali hivyo?
In short, ukienda kwenye seminar usisahau na ona umuhimu wa kuweka TGS kubwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utanishukuru
Paap baada ya seminar tukaingiziwa mpunga mrefu nilioweza kukamilisha madeni yote na kuwapatia fedha ya Christmas na mwaka mpya ndugu zangu....
Ninachotaka kusema hasa kwetu sisi wakatoliki tunao Hama Hama bila sababu, tusali kwa kukiri kweli na tuamini kweli tuache huu mchezo wa kusali kwa mazoea....
Next time, nitajatoa ushuhuda wa Ekarist Takatifu uliowahi kunitokea nikiwa mtumikiaji (ministrant) Parokia moja iliyopo Jimbo kuu la Dar es salaam
Ushuhuda mwingine, mbele ya Groto la Bikirira Maria 2019
Mwingine 2020
Na huu niliouelezea ni December 20, 2021
Amini katika unachokiamini usikubali kuyumba...