ushuhuda wa kweli-niliishi miaka 7 bila...

OMG! Smile, pole sana. Kwa kweli nimesikitika sana kwa haya mambo. Wazazi hawakukutendea haki kutokukufundisha mambo yote na jinsi ya kujisitiri pia. Tafadhali angalia usirudie kosa hili kwa wanao.
 
omg! Smile, pole sana. Kwa kweli nimesikitika sana kwa haya mambo. Wazazi hawakukutendea haki kutokukufundisha mambo yote na jinsi ya kujisitiri pia. Tafadhali angalia usirudie kosa hili kwa wanao.
kweli mwaya siwezi kurudia kosa kweli niliteseka sana na hayo mambo lakini nashukuru huo uoga na hofu ya kuwa nina ulemavu wa ma....zi uliniepusha na mabazazi
 
Khaaaaaaaaa!!!!
Makubwa haya,kwan na ww mpaka leo hujui?
Ok,usijali ila kwa msitu utakaokuwa nao,
Tafuta mapanga,majembe,mafyekeo na reki ya kukusanyia majani bila kusahau dumu la mafuta ya taa na kiberiti ili kazi ikiisha tuchome majani.

Jembe ! Fyekeo, Reki ! Tena ! Mbona hizi tools zinafanana na zile nilizoanza nazo form 1 bording ? Ok naandaa !
 
Jembe ! Fyekeo, Reki ! Tena ! Mbona hizi tools zinafanana na zile nilizoanza nazo form 1 bording ? Ok naandaa !
Ndio ivo na hii ni kutokana na ukubwa wa msitu ulionao coz km tangu zimeanza kuota hazijanyolewa bila hizo zana kazi haitafanyika aisee!
 
Kazi kwelikweli.
Hukujiuliza mbona kichwani unanyoa?
Au hukuwa unanyolewa hata nywele za kichwani?
 
Toka zako hapa muongo weeeeeeeeeeeeee!!!

Hata kama ni uongo lakm message sent and delivered.wazazi wengi hawafundishi watoto wao wa kike jinsi ya kujiweka safi na kujisitiri.Utakuta hata kuvaa pad inakuwa shida labda mpaka ajifunze mitaani kwa wenzie.
 
Yaani best umenichekesha sina mbavu, yaani hapo kwenye red mbavu zangu, pole na hongera kwa kuwa mwaminifu, maana unaonesha hukuchakachuliwa mapema
 
nilipovunja ungo
nikiwa naoga na wenzangu mimi nilikuwa sivui underwear

Ulivunja ungo- Hukushtakiwa ha ha haaa(joke). dada yangu hiyo miaka 7 na kila mwezi lazima uende kule kunako sayari ulimudu vipi. Ni lazima ulikuwa na kaharufu fulani! Jaribu kukumbuka vizuri.
Ulikuwa ukioga na wenzako huvui ile ya mwisho. Yaani wewe ulikuwa unajifuta maji then vaa uniform darasani kwisha habari!
Zile zawadi za kila mwezi plus chupi chafu embu jenga taswira ya kaharufu ulikokuwa unakatoa! Kweli wewe jasiri!
 
sio mara zote tulikuwa tunaoga wote incase
 
yaani best umenichekesha sina mbavu, yaani hapo kwenye red mbavu zangu, pole na hongera kwa kuwa mwaminifu, maana unaonesha hukuchakachuliwa mapema
kweli ilinisaidia saaaaana nikawa salama
 

halafu iko kipande ajakizungumzia sijui ilikuwaje au alishauriwa kufanya usafi wakati huo tu....
ngoja aje tumsikie kwa hilo..
 
Katika kabila langu Msichana hakuruhusiwa kunyoa nywele za huko mpaka atakapoolewa. Asubuhi ya kwanza ya siku ya ndoa (baada ya kazi ya usiku) alipelekwa uwani na mama mkwe kwa ajili ya kunyolewa. Kunyoa nywele kabla ya doa ilikuwa haikubaliki kimila.

Kwa wanaume, hakuruhusiwa kunyoa ndevu mpaka ametoa beberu kwa mzee. Shule zilipoanza zilivuruga utaratibu huu maana walimu walikuwa wanachapa sana kijana asiponyoa ndevu

Smile, Vipi ulipoenda hospitali ulibahatika kuhudumiwa na dakitali wa kike?
 
mikikimikiki ya hedhi ulihimili vipi mbona hapo husemi mwali?
mbona hzo nywele zinasaidia sana kipindi ca hedhi? Kumbe wewe mwanaumbe huwezi elewa besides siwezi kusema hayo mambo hapa
 
daktari alienihudumia ni wa kiume wewe acha tu
 
Ukiwa umevaa surual si panaonekana kamlima kwa mbele kabsa! mmmmh....!
 
mbona hzo nywele zinasaidia sana kipindi ca hedhi? Kumbe wewe mwanaumbe huwezi elewa besides siwezi kusema hayo mambo hapa

Sikubaliani na hoja mheshimiwa wazi.... hata ukiumia kichwani tunaona vile ambavyo damu hutoa harufu! Bana unakwepa hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…