Monica Mgeni
Member
- Oct 7, 2021
- 82
- 134
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Monica ni jina la Kikristo, na kutosema uongo ni miongoni mwa amri 10 za Mungu ambayo ukiivunja ni dhambi na adhabu yake unaijua. Unapojitoa ufahamu utadhani hujui kesho yako kiroho kama wanasiasa wapumbavu ni Kwa hasara yako mwenyewe. Ipo siku Mungu ataitaka hesabu ya matendo yako.
Unapojitoa ufahamu utadhani hujui kesho yako kiroho kama wanasiasa wapumbavu ni Kwa hasara yako mwenyewe. Ipo siku Mungu ataitaka hesabu ya matendo yako.[emoji1545][emoji1534]Monica ni jina la Kikristo, na kutosema uongo ni miongoni mwa amri 10 za Mungu ambayo ukiivunja ni dhambi na adhabu yake unaijua. Unapojitoa ufahamu utadhani hujui kesho yako kiroho kama wanasiasa wapumbavu ni Kwa hasara yako mwenyewe. Ipo siku Mungu ataitaka hesabu ya matendo yako.
Acha kuungana na waongo waongo Kama PMHapo Pia inawezekana hawa wanaowasema wenzao kwamba ni waongo ni KINYUME chake.
Ukweli wao ni uongo kwako na uongo wako ni ukweli ili kukuza chuki nchini hii nadhani ndiyo itakuwa dhambi KUBWA zaidi.
Hivi nchi hii tumefika mda kila mtu tetea tumbo lake? Sie wajinga na tuko jamii ya kijinga