#COVID19 Ushuhuda wa Mchungaji Godwin Chilewa kuhusu COVID-19: Je, tunamficha nani, kwanini na kwa Faida gani?

Wacha kelele, kwanza hiyo maabara ya kupima wagonjwa wa Covid mnayo?

Nimemuelewa vizuri sana analosema majibu ya Corona mnayotoa ni ya uongo, yes ni uongo, kwasababu mlishasema kwenu hakuna Covid sasa iweje mtu aliekuja akiwa mzima aondoke na ugonjwa?

Mnapiga pesa za watu dola 100 kuwadanganya mnawapima kumbe mnawaibia tu pesa zao mpeleke kwenye miradi yenu isiyoeleweka.
 
Rafiki kujifukizia ni mbinu ya viongozi wetu ya kuua watu ndiyo maana wao wakiugua hawajifukizii bali wanakimbilia matibabu ya kisasa huko Nairobi na India.
 
Nimesoma hadi machozi yamenitoka.... Mungu wa mbinguni atupiganie . Corona ni mbaya sio ya kufanyia mzaha
Imagine Corona inasababisha kisukari,presha na damu kuganda.Sasa assume kuwa Corona imekupiga halafu umepatwa na hizo presha,kisukari na damu kuganda halafu unakomaa na kupiga nyungu!!!😭😭😭
 
Rafiki kujifukizia ni mbinu ya viongozi wetu ya kuua watu ndiyo maana wao wakiugua hawajifukizii bali wanakimbilia matibabu ya kisasa huko Nairobi na India.
Kuna yule aliyejifukizia hotelini akaenda kudondokea mjengoni.
Hahahahahahahahahahaha...........
 
Tusitumie kigezo hicho kuacha kudhibiti maambukizi ya corona kwakuwaambia watu wafanye mazoezi ili corona isiwadhuru sana

Sio kila mtu ana uwezo wa kufanya mazoezi kuna watu wengine miili yao hairuhusu kufanya zoezi
 
Wallah hii ni vita ya kiuchumi...... ni vita kabisa inaonekana hata kwa macho... tunaona kabisa ni vita tu ya kiuchumi wala si jambo jingine lolote. hii corona ni tu mafua tu wala siyo issue kuuuuubwa kihivyo.
 
[QUOTE="Mlatinoh king, post: 38084082, member: 3313Ila mi kwangu tatizo Ni jinsi Serikali inavokataa haya maswala ya sayansi kwa kiburi Tena hadharani.....!!!!
Na Sasa WHO ime exclude Tanzania na Burundi kwnye mpango huo was chanjo ya Covid....!!!

That may not be problem..
Lakini hili swala linanipeleka mbali kuwaza hivi hiki kiburi tulichokionesha mpaka mataifa pamoja na WHO kutuacha tujiendeshe tunavoona Sanaa, je siku ikija kutokea serious disease ingine kabisa tofauti na hii hapa Bongo tutawaomba WHO kutupa msaada tukiwa na sura za aina ipi......!!!!

Kuna njia nyingi za kukataa matibabu na sio kosa kisheria lakini sisi tumeyakataa matibabu kwa kiburi na kejeli nyingi Sana.

Let's see
[/QUOTE]
Nakubaliana na yote hayo, WHO sio nchi, ni taasisi ya mataifa yote duniana, so haifanyi hisani bali ni wajibu wake.
 
Nilijua utakuja na pumba za aina hii! You are not educated at all. There is a slim difference between you and the learned nots because you know to write!
Ahsante sana mkuu huyu jamaa ni takataka huwa anapenda kuandika ujinga mpaka kwenye serious issues
 
Tusitumie kigezo hicho kuacha kudhibiti maambukizi ya corona kwakuwaambia watu wafanye mazoezi ili corona isiwadhuru sana

Sio kila mtu ana uwezo wa kufanya mazoezi kuna watu wengine miili yao hairuhusu kufanya zoezi
Sio wote, lakini wengi wanaoamini hawawezi kufanya mazoezi ndio hasa wanaotakiwa kufanya mazoezi maana mazoezi yako ya aina nyingi.
 

Kiburi cha kukataa ushauri wa WHO na sayansi kimemrudia Jiwe mwenyewe, saa hizi sijui yuko kwenye lile container la Muhimbili anajifukiza?
 
Kwa nini unasema Corona uliipatia Tanzania? Si ulipimwa Muhimbili uka onekana negative? Mbona familia yako wote hawakupata?
"You are in good hands, so don't worry" uliyoambiwa na daktari wako ukamuamini (yaani kukutoa woga kwanza), waTanzania wote (taifa lote) liliambiwa hivyo na raisi wetu - ameendelea kututoa woga.
Hivi ulisha ugua malaria na ukaenda hospital huko marekani? Mbona watakuchukulia kama mtu wa kufa hapo hapo! Hivyo Nakushauri - unavyo onekana kwenye picha, immune yako ni ndogo sana, kwanza kwa sababu ya uzee, vyakula unavyo kula, maisha yako ya mswahili kukaa kwa wazungu na WOGA! hivyo ulikuwa hustahili kusafiri wakati wa gonjwa hili. Utakuwa (wewe) umelieneza Tanzania.
 
Una uhakika zimefanyiwa tafiti? If yes, weka publication result hapa za research hiyo.
Maisha ya mwafrika, dawa, mavazi, vyakula, malazi (aina ya ujenzi wa nyumba), kulima na kupanda (na misimu) - vyote hivyo vimefanyiwa utafiti siku nyingi na waafrika wenyewe. Nikupe mifano michache - wagogo nyumba zao ni flat, wahaya nyumba zimechongoka paa. Na mengine mengi, hivyo usidharau kwamba hakuna utafiti uliofanyika - katika ujenzi sehemu yenye ukame na yenye mvua nyingi unajulikana paa litakuwaje.
Na yote hayo hayana any publication in the building & settlement journal.
Utabiri wa hali ya hewa pia - unajulikana kienyeji.
 
Kubwa jinga wewe!
 
tuko kwenye modern days. unlike huko nyuma wasomi hawakuwa wengi, si wote hawakujali publications.
in modern world ya sasa,ukisema umegundua kitu fulani, lazima uonyeshe proof kua its true.

zama zimebadilika.
however sipingi vumbuzi za kiafrika.
 
huyo atakuwa jinamizi, sisi hatuna corona wasijaze ujinga wao kwetu..mbona hata timu zetu zinakuja huko kucheza mipira...na wengi wakipimwa huonekana hawana hivyo virus..pia na hata wakigundulika kuwa navyo fasta huwa wanapona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…