USHUHUDA: Wanawake wenye Miguu ya ngamia wamebarikiwa sana

USHUHUDA: Wanawake wenye Miguu ya ngamia wamebarikiwa sana

yeah, wengi hawana, waliyonayo ni kama kina Kim kardashian nk, yani zipo kwa wanawake wachache mno
kama ulionaga sex tape ya kim k utakua unaelewa
Muongeze Sepenga na boss lady kwenye list.....
 
My Testimony [emoji116]

Enzi izo sijaoa, ila Ni gwiji mchakataji
Nlkua na best friend wangu mmoja alkua na MCHEPUKO wake amempangishia jirani na zilipokua ofisi zetu.


Jamaa angu alimpenda sana Yule mwanamke kias kwamba alishamfumania Mara kibao ila still amuachi.

Sema
Uyu mdada alkua kibuli Sana, afu anampelekesha Sana jamaa angu.

Sema ndo viile tunasemaga mapenz upofu. Mapenz hayaingiliwi.

Tusije vunja urafik wetu kisa wanawake.

Ikabd
Tukamshauri TU aendelee nae anavyojua yeye, ila asimdisturb mama watoto wake kule nyumban.

One day,
kule alkompangishia akaja mdogo wake kukaa pale maana field ofis flani jiran na ofsin kwetu.

Jamaa angu
akanichomekea kua kwasababu sijaoa, mpenz wake kamwambia mdogo wake atanifaa sana.

Nkaona,
sio vema kumvunja Moyo meji yangu.

Iki kislay queen hakifai kwa kuoa wala kuweka ndani, ila sio busara kukilazia damu.

Maana kibongo bongo, hawachelewi kukuhisia JOGOO HAPANDI MTUNGI.

Ntakua nabuy time pale siku ziende,

Tukakubaliana tuwatoe wote out, ila tukifika, mi ntakua bize na Yule dogo afu yeye bize na mtu wake.

Na Mambo ikawa Kama ilivyokua planned, Na dogo hakuchomoa Wala Nini.

Kunako 6 kwa sita,
Aisee nlishuhudia kitu Cha ajabu Sana.

Jamaa angu akaniuliza, vipi imekwendaje.

Nkamwambia, "Bro, aisee umdhaniaye kumbe siye"

Akanambia, "wee usione simwachi uyu dada ake, Ni mtamu balaa ile familia imebarikiwa akya mungu"

Na ukinambia mtu wake mzgo umevimba,wamoto na mnato unampagawisha Sana.

Nkaitikia kwa kutikisa kichwa kumkubalia

Na Mimi, nkikumbuka nilichokutana nacho kwa mdogo wake Ni kile kile anachokielezea jamaa angu.

Apo ndo nkaja kukumbuka ile sex tape iliyovuja ya Kim kardashian.

Na jins maumbile yake yalivyoonekana kwny Ile video.

Ndo nkakumbuka
kwanini wale mabinti wa KARDASHIAN FAMILY wanawavuruga vichwa vya matajiri wengi duniani.
Baada ya hapo ndio ukaamua kumuoa kabisaa?
 
Baada ya hapo ndio ukaamua kumuoa kabisaa?
Hamna,
Ilibidi TU nifanye maamuz ya kumpunguzia mawasiliano mpaka tukaachana mazima.

Kilichonikwamisha ilkua Ni gharama za kumhudumia na kumhandle.

Na kipind hicho nlkua vibaya kiuchumi.

Binti alkua anapenda maisha flan hivi ya outing,shopping& surprise.

Na Mimi ndo nlkua bado najipanga kimaisha.

Yaan nkiwa nae,
Najikuta Kipato chote Cha mwezi kinaweza kukata within 5 days.

Nkaona isiwe tabu,
Nsije nkapotea mjini hapa, nkaanza kumpotezea KIMYA KIMYA.

Sema mwaka juz nlkuja kupata NAMBA ake kumtafta akanambia tayar ameshaolewa mke wa tatu na kibopa mmoja matata Sana mjini.

Ikabidi niwe mpole.
 
Back
Top Bottom