USHUHUDA: Wanawake wenye Miguu ya ngamia wamebarikiwa sana

yeah, wengi hawana, waliyonayo ni kama kina Kim kardashian nk, yani zipo kwa wanawake wachache mno
kama ulionaga sex tape ya kim k utakua unaelewa
Muongeze Sepenga na boss lady kwenye list.....
 
Baada ya hapo ndio ukaamua kumuoa kabisaa?
 
Baada ya hapo ndio ukaamua kumuoa kabisaa?
Hamna,
Ilibidi TU nifanye maamuz ya kumpunguzia mawasiliano mpaka tukaachana mazima.

Kilichonikwamisha ilkua Ni gharama za kumhudumia na kumhandle.

Na kipind hicho nlkua vibaya kiuchumi.

Binti alkua anapenda maisha flan hivi ya outing,shopping& surprise.

Na Mimi ndo nlkua bado najipanga kimaisha.

Yaan nkiwa nae,
Najikuta Kipato chote Cha mwezi kinaweza kukata within 5 days.

Nkaona isiwe tabu,
Nsije nkapotea mjini hapa, nkaanza kumpotezea KIMYA KIMYA.

Sema mwaka juz nlkuja kupata NAMBA ake kumtafta akanambia tayar ameshaolewa mke wa tatu na kibopa mmoja matata Sana mjini.

Ikabidi niwe mpole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…