Ushuhuda wangu katika mahusiano ya kileo

Safi sana Nasisitiza tena Kama wewe ni Demu ukimpata Boya mkamue haswa mpaka akili imkae sawa.
kila siku humu watu wanasema kuwa hawa Viumbe sio wa kuwapa kipaumbele kiasi icho na mapenzi na ya pande zote sio upande mmoja tu kuwajibika.
 
Week 2 gharama ya kuhudumia 270,000 Kwa mwezi 270,000*2=??? ,mshahara wa mfanyakazi hapo ,kumbe ndo maana huyo demu hana kazi
 
Jitafutie lishangazi hayo kidogo hayanaga pigo hizo.kikubwa kama linakibarua chake lets say mama ntilie unapopata kahera unalipea hata hamsini liboreshe mtaji.hutojuta mkuu asbh utakula utakacho mchana pia na jioni na papuchi utasusiwa na ukikwama hela linakupea.
Jiongeze achana na hivyo vipochi manyoya vinuka kojo
 
Pole sana idiot
 
Ukweli broo
 
Kijana,laki mbili na sabini elfu unalia lia kiasi hiki
Tafuta hela kwanza,alafu muda wa kuhonga bado hujaufikia, ushauri wako ni mzuri kwako tu.
Zinaa ni mbaya,rudi kijijini kwenu kama wa mjini huwawezi utafute wako mmoja uoe,
Babako akiwa na umri wako alishakuzaa na hakufanya zinaa kama wewe
 
 
Achana na huyo mtoto mwenzio maana amekuzidi akili
Ameshakula hela na ataendelea kula alafu wewe hujala?!, pathetic
Nakufundisha mbinu, next time akikuomba hela mwambie aje aifuate usitume, akija utajua cha kufanya siwezi kukufundisha kila kitu
Huyo mtoto ameshakuona fala, na anakumudu
wewe ni dhaifu sana.
 
Haya uliyojiingiza si mahusiano ila ni ufala, mapenzi si one way, ukiona unaliwa ama kila siku ni wewe tu ndiye unaye gharamia penzi achana nalo mara moja. Mwanamke hata awe mzuri kiasi gani kama si mkeo hana thamani ya hizo hela unazowapa. Jiulize, kabla yako walikuwa wanaishije, na utaondoka wewe watakuwa wanaishi tu. Mwanamke asiyekupa zawadi si wa kukaa naye, mahusiano ni kujaliana. Nipe nikupe si mimi nikupe wewe tu kila siku wakati demu hana mchango wowote zaidi ya kupiga mizinga.
 
Huyu dogo kishaonyesha ufala wake, usishangae demu akaenda kwake na akamwambia kuwa kaka Simon10 kaniambia nikiute uje ili nijue nini cha kufanya lakini sijamuelewa ana maana gani. Eti mpenzi unamuelewa lakini kaka yangu Simon10, asije kuwa ana wivu na mimi huyu?
 
hahaa, madogo siku hizi, kama kuku wa broiler, wanapelekwa pelekwa tu. Moto wenyewe hawana wakiona mdada anapiga kelele wanajua kafika, kumbe wanatakiwa wapige show ya ufundi hadi mapaja ya mwanamke yana vibrate
Aachane nae atafute wa size yake
 
Kweli vipato vya vijana vinapotea kuna vijana kununa nguo ni ngumu utakuta kigana ana shuka mbili nguo za kuvaa shati tatu na suruali mbili na hapo unakuta ana mpa mpenzi wake kwa mwezi zaidi ya laki mbili.Mimi niliona ujinga unakua na Mpenzi ana jijali yeyetu yana ata ukivaa shati moja kila siku yeye hajali.
 
Mabinti pisi Kali unawajua ?hawahitaji hayo mambo halafu ni kama wanaupungufu wa nguvu za kike
Nikuhakikishie, bars zangu zinaanzia kati kwenda juu sio chini, sio tu pisi ila pia ni intellectual
Hakuna mwanamke asiye na nguvu za kike, ila vijana mnaparamia kama mlima au baiskeli, unapanda na kunyonga.
Tafuta sehemu zenye msisimuke, usiwe bubu, wakati mikono na miguu inatalii, huku unatamka maneno romantic, miguu yako ifanye kazi, clitoris rub slowly and gentle hadi unaona anaanza kujinyonga nyonga, pull and play iwe na rhythm tofauti, slow, then unakuwa kama unastuck, usipige middle, nenda kwenye amgle (kuta) huku mikono na mdomo wako ukiendelea kufanya kazi.

Fanya uone kama hizo nguvu za kike zinakuja tu zenyewe, cha msingi ujue ku ply smart, hawa viumbe warahisi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…