Ushuhuda wangu katika mahusiano ya kileo

Safi sana Nasisitiza tena Kama wewe ni Demu ukimpata Boya mkamue haswa mpaka akili imkae sawa.
kila siku humu watu wanasema kuwa hawa Viumbe sio wa kuwapa kipaumbele kiasi icho na mapenzi na ya pande zote sio upande mmoja tu kuwajibika.
Kweli kabisa bro
 
Sawa chief nimekuelewa sana
 
Aisee huu mchambo kiboko😁😁😁😁😁
 
Kwa tabia zake huyu ajiandaw kuuza nyuma na mbele....maana mbele tu halatoshi kukidhi Anasa zake.
 
Kumla nilishamla tayari kama mara mbili hivi
 
Kijana ndiokwanza ana umri wa miaka 25, kakata tamaa na mapenzi.
Halloo wee charii tulia hivyo hivyo hiyo game ndio inaanza, unakimbilia wapi? Kwanza unahudumia vipi mwanamke ambaye hata mwezi hamjatimiza ktk mahusiano?

Kijana inaonekana ktk tafuta tafuta zako huwa unachagua Malaya na si wanawake wa kueleweka, ieleweke hivyo, Malaya hatunzwi, Malaya matumizi yake yako wazi kabisa.

Mtu mmedate week 2 tayar kakufanya wewe mzazi wake na ambapo hata huyo mzazi wake hatimizi mahitaji yake kama unavyomtimizia wewe mjinga wake.

Kijana usipochange aina yako ya machaguo kwa wanawake hata ufanye Nini utabaki kuangukia kule kule kwa "gold diggers''.

Natia nukta.
 
Verry sure
 
Kumla nilishamla tayari kama mara mbili hivi
Je Bidhaa inaendana na Thamani ya pesa yako? Umebahatika kuwa na kipato ukiwa kijana mdogo. Achana na Wanawake utafika mbali.
Hakuna Malaya aliyefanikiwa hata Diamondi alishaacha ujinga walimshtua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…