Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
-
- #41
Ujinga wa hali ya juu mkuu huyu dem kaniachia kila kitu na juzi alikuwa na graduation kaniomba laki mbili nikachomoaHili ni kweli kabisa, unaumia tuu. Demu hana kazi anamiliki iphone unajiuliza sasa huyu anategemea wanaume tuu kuweka bundle hiyo simu
Nimekuelewa mkuuHuwezi kutimiza malengo eti sababu umewakwepa Wanawake kuna nguvu ya kiroho inahitajika ebu kwanza mpokee Yesu ndio ufikirie mafanikio
kumla nilishamla mara mbiliHuyo aliekula 270+ Umeshamla na ww, Au tuachane na mambo yako.
Kweli kabisa broSafi sana Nasisitiza tena Kama wewe ni Demu ukimpata Boya mkamue haswa mpaka akili imkae sawa.
kila siku humu watu wanasema kuwa hawa Viumbe sio wa kuwapa kipaumbele kiasi icho na mapenzi na ya pande zote sio upande mmoja tu kuwajibika.
Kwahiyo mnatukomoaNa mtayalaani sana mapenzi...Ila hamuwezi kuishi bila kufanya
Sawa chief nimekuelewa sanaJitafutie lishangazi hayo kidogo hayanaga pigo hizo.kikubwa kama linakibarua chake lets say mama ntilie unapopata kahera unalipea hata hamsini liboreshe mtaji.hutojuta mkuu asbh utakula utakacho mchana pia na jioni na papuchi utasusiwa na ukikwama hela linakupea.
Jiongeze achana na hivyo vipochi manyoya vinuka kojo
Aisee huu mchambo kiboko😁😁😁😁😁Kijana,laki mbili na sabini elfu unalia lia kiasi hiki
Tafuta hela kwanza,alafu muda wa kuhonga bado hujaufikia, ushauri wako ni mzuri kwako tu.
Zinaa ni mbaya,rudi kijijini kwenu kama wa mjini huwawezi utafute wako mmoja uoe,
Babako akiwa na umri wako alishakuzaa na hakufanya zinaa kama wewe
Aisee ni shida broMabinti wa siku hizi ni njaa kali na wapumbavu hawana wanachoweza zaidi ya kutaka kuhudumiwa kama walemavu.
Aisee kwanza dem hana kazi but anapenda raha sana kwanza ataki simu yake ikae bila bandle hata kwa dakika 10 halafu anataka umuungie kifurushi cha internet sio chini ya 20k. Na pesa ya kusuka kila wiki kiufupi matumizi yake ni makubwa sana na ndio kwanza tuna wiki mbili aisee.
Ukiona wamesuka vzr kumbe wapo mawindoni aiseeOyaaa madem wa mjini miyeyusho sanaa,
ni broke ladies af wanajifanya high maintenance kenge Hawa.
Kuna ma Simp huko yanateketea.Hizi couple mzione tu barabarani ndugu zangu aisee wanaume tunapigwa sana mimi nimekoma.
Kumla nilishamla tayari kama mara mbili hiviAchana na huyo mtoto mwenzio maana amekuzidi akili
Ameshakula hela na ataendelea kula alafu wewe hujala?!, pathetic
Nakufundisha mbinu, next time akikuomba hela mwambie aje aifuate usitume, akija utajua cha kufanya siwezi kukufundisha kila kitu
Huyo mtoto ameshakuona fala, na anakumudu
wewe ni dhaifu sana.
Hata siku moja Mwanamke hata kama anafanya kazi BOT hasuki kwa pesa yake. Never!Ukiona wamesuka vzr kumbe wapo mawindoni aisee
Verry sureHaya uliyojiingiza si mahusiano ila ni ufala, mapenzi si one way, ukiona unaliwa ama kila siku ni wewe tu ndiye unaye gharamia penzi achana nalo mara moja. Mwanamke hata awe mzuri kiasi gani kama si mkeo hana thamani ya hizo hela unazowapa. Jiulize, kabla yako walikuwa wanaishije, na utaondoka wewe watakuwa wanaishi tu. Mwanamke asiyekupa zawadi si wa kukaa naye, mahusiano ni kujaliana. Nipe nikupe si mimi nikupe wewe tu kila siku wakati demu hana mchango wowote zaidi ya kupiga mizinga.
Je Bidhaa inaendana na Thamani ya pesa yako? Umebahatika kuwa na kipato ukiwa kijana mdogo. Achana na Wanawake utafika mbali.Kumla nilishamla tayari kama mara mbili hivi
Alafu hawa mademu wanadhani hela tunaokota eehUjinga wa hali ya juu mkuu huyu dem kaniachia kila kitu na juzi alikuwa na graduation kaniomba laki mbili nikachomoa
Verry sure blood wewe ndio umeongea ukweliMabinti pisi Kali unawajua ?hawahitaji hayo mambo halafu ni kama wanaupungufu wa nguvu za kike
Ulimgusa gusa, ukukata kiu yakeKumla nilishamla tayari kama mara mbili hivi