#COVID19 Ushuhuda wangu kuhusu janga la COVID-19

Tuchukue tahadhari muhimu mkuu, ishu ya chanjo ibaki uuamuzi binafsi, Lakini watu wanapoteza maisha
 
Wewe jamaa unatumia kichwa kufuga nywele tu ,,Ni ukoo mmoja na yule Elitwege Ni hasara kwa Taifa watu Kama nyinyi.
Bora umemwambia Ukweli kabisa, aendelee kufanya kejeli Ila mwisho wake huwa mbaya Sana
 

Dah polee sana mkuu.
 
Wewe jamaa unatumia kichwa kufuga nywele tu ,,Ni ukoo mmoja na yule Elitwege Ni hasara kwa Taifa watu Kama nyinyi.
Nyinyi madalali wa chanjo lazima twende sambamba.

Taifa la watu wajinga wajinga wanaojali pesa za wazungu kuliko uhai wa mtu ni taifa la wendawazimu.

Mimi ninashughulika na wendawazimu wa mitandaoni kama wewe ambao mnalazimisha kujaza watu HOFU na VITISHO vya KIFO.

Hafi mtu hapa, na wala HAKUNA CORONA.

Hizi ni hadithi za propaganda tuu!! Hakuna lolote.
 
Kwani Magu anasemaje huko motoni.
 
Unaenda nao sambamba humu wakati chanjo zimeshafika kwenye vituo 500+, Unaakili kweli Wewe? Kazuie vituoni huko ukanyooshwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…