Priscallia
JF-Expert Member
- Nov 9, 2019
- 496
- 2,449
- Thread starter
-
- #201
who know's [emoji3526] labda kwenye Id ya zamani tulishawahi onanaIla kama ni yeye kwenye ile picha mbona anapigika tu pamoja na ushuhuda wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unampima leo, kumbe ameupata jana! Vaa tu ndomu mzeePole sana mkuu, mimi kitu cha cha kwanza kabla sijakugegeda lazma nikupime damu Aiseee.
na pia una ujasiri sana mdada, hivi mimi nikiambiwa muathirika si nitaanza kutembea uchi barabarani, inahitaji moyo wa ziada aisee
who know's [emoji3526] labda kwenye Id ya zamani tulishawahi onana
Hesabu kuanzia 2014 hadi sasa ni miaka mingapi?? Soma uzi wangu uueleweKwaiyo hawo members wa jf mlikutania huko chuoni nje ya nchi[emoji4]?
Mimi na wazia hizo njembaa alizokutananazo huku jf zinavyo soma huu uziii sijui wako katika halo gani....
2014 ndio umesema mwaka uliopata HIV,Hesabu kuanzia 2014 hadi sasa ni miaka mingapi?? Soma uzi wangu uuelewe
Nop, thank you[emoji23][emoji23][emoji23]basi tufanye rematch kwa id hii
Nipo nimejaa tele, sema sio kila kitu cha kujibu vitu vingine unaviacha viende. Kwa ufupi tu baadhi yao hapa hawajui ID yangu how active it's. Na wengi humu maisha yao nayafahamu kwa hiyo ni kukaa kimya, maana sipo hapa kujibishana na mtu
Kaka naona unatoa ushauriEndelea kuwaony, jibu comments ambazo ni positive
Mkuu kwa hiyo picha ya sura ya kioo hapo chini huyu msichana namfahamu.. Namtunzia siri yake tu ...
Kaka naona unatoa ushauri
Kwamba ni......Masikini demisi.
Yani ilokuwa kidogo nimle huyu mtoto.
Daaah.
Ina maana mshana naye anao?
Hey dear, be calm. Wengi tunajuana by codes humu ndani. Wadada wengi pia humu huwenda wakawa positive pia.
MshanaaaWachawi hatuishi!
View attachment 1275153
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Masikini demisi.
Yani ilokuwa kidogo nimle huyu mtoto.
Daaah.
Ina maana mshana naye anao?