Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Unalala nao huko nje ya nchi? I bet ulisema upo Cyprus, huko unalala na wabongo? I'm sorry sikakuelewa ndio ikabidi niulize...
 
hili la wanaume kuwa wanaongozwa na sexual desire lipo pia hata kwa watoto wa kike

majuzi kati hapo nipo na manzi fulani "tunaserebuka" from no where ananiambia eti vua mpira , nikamuuliza y akajibu eti anataka ladha kamili..nikamuuliza una uhakika gani mi niko safe akajibu tu kirahic kuwa "nimeona tu kuwa umevaa kinga so it means unajali afya" Nilichoka
 
Unalala nao huko nje ya nchi? I bet ulisema upo Cyprus, huko unalala na wabongo? I'm sorry sikakuelewa ndio ikabidi niulize...
Ila nina wasi wasi huyu hayupo nchi za nje.
Kwa sababu hakuna nchi inayoruhusu muathirika kwenda kusoma kwenye nchi yao.
Hio nchi haipo.
Kwa hio huyu demi yuko hapa hap tz inawezekana yupo chalinze
 
mie nimestua sehemu baada ya kusoma kuna jamaa walikuwa wakitaka chomoa mpira katikati ya mtanange na ukawa unawakatalia.

ina maana hao jamaa ni zaidi ya 1_2 hahahaha alafu unasema unawapenda acha izo kwa nini usitulie na mmoja ama ndo vile beki hazikabi.
 
Amesema ni wengi....JF ina watu wanatembea wamekufa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…