Bella Ciao
JF-Expert Member
- May 28, 2019
- 1,804
- 4,461
Na kilichomfanya atembee nao huku akijua ni mgonjwa nao ni uuwaji!Asante kwa kuwakilisha mawazo yangu,anashangaa member kubaridi I'd huku ajishangai yeye kukosa ujasiri kutoa ushuhuda kwa i'd yake iliyozoeleka kifupi ana nia ya kuusambaza kama kweli hii mada ni uhalisia wake.
Na bado anasisitiza kwamba ana I'd mbili huku anatoa ushauri hii mada ni chai😁😁😁Na kilichomfanya atembee nao huku akijua ni mgonjwa nao ni uuwaji!
Best nakushangaa unawanyooshea wenzio kidole hali ya kuwa makosa waliofanya wenzio nawe unapita mulemule ningekuelewa kama ungefungua uzi na I'd yako iliyozoeleka(sorry)Hapana na maana yangu kufanya hivi, bado watu hawajiulizi kuna baadhi ya member humu walikuwa maarufu sana kwenye baadhi ya forum na hili likiwemo lakni wameishia kupotea ama kubadili Id ni kwamba wengi wanajua walichowafanyia baadhi ya member sio vizuri kuepuka tafurani wamebadili Id.
Mkuu kwa hiyo picha ya sura ya kioo hapo chini huyu msichana namfahamu.. Namtunzia siri yake tu ...
Me naona umefanya vizuri kuja na ID mpya.. Nakumbuka kuna matukio kama haya yalishawahi kutokea na palitokea mtafaruko ukapelekea watu kufichuliana identity zao.
Kama umeshakutana na baadhi ya watu humu jf ni vizuri kutosema hiyo id yako ya zamani ili kulinda privacy yako
Nop, thank youBest nakushangaa unawanyooshea wenzio kidole hali ya kuwa makosa waliofanya wenzio nawe unapita mulemule ningekuelewa kama ungefungua uzi na I'd yako iliyozoeleka(sorry)
Ndio maana pia kuna wadada wengine wana hofu kwasababu kuna members wametembea nao na hawana imani nao[emoji23][emoji23]Yule wa SUA?? Dah inasemekana jamaa aliwasambazia wadada kibao hapa jukwaani. Sijui uko wapi ule Uzi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na bado anasisitiza kwamba ana I'd mbili huku anatoa ushauri hii mada ni chai[emoji16][emoji16][emoji16]
Kwamba ni......
Ndio maana pia kuna wadada wengine wana hofu kwasababu kuna members wametembea nao na hawana imani nao[emoji23][emoji23]
Ni Black sijui nini, ule uzi ulifutwaJamaa alikua anaitwa Sijui T9 au Black9 sikumbuki ile ID
[emoji3][emoji3] haiwezi kutokeaNdiyo usigawe tunda kimasihara sasa