Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

Oooh its courage enough to expose u'r status and this might be merit in one way or another, km hutojali njoo PM kuna habari njema ningependa tushee, thank you !!
 
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Weee umenijuliaa wapi mimi???? Sijawahii gonga demu wa jf hata kimasiharaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umeamua kuruka viunzi hapa,[emoji3] [emoji3] ,na ulivyo na masikhara ya kula matunda huenda ushakula tayari,usikanee[emoji3] [emoji3]
 
Kabla huu uzi haujafutwa au kufungwa, nachelea kusema "una roho mbaya kuwaambukiza binadamu wenzio" maksudi. Mungu akusamehe
 
Priscallia,
Ila ungekuwa umeguswa ungeleta kwa ID yako wanayoijua uliotembea nao humu JF. Ili wajue mstakabali wa afya zao.Incase walikupiga peku peku. Walinde wenzako.
Asante kwa kukazia mkuu, hata nilimwambia huko juu kuwa lait kama angekuwa shujaa na mpenda afya za watu wengine angekuja na ID yake ili tumjue.

Watu wanamwita shujaa sasa ushujaa wake uko wapi kama anakuja na id mpya,

Mimi simuiti shujaa.
 
Pole sana na jitahidi kufwata maelezo ya wataalamu wa afya.
Lakini kuna sehemu moja umenishangaza uliposema ulijua una maambukizi na bado ukaendelea tembea na watu wa JF na bado una mahusiano na Prof. ulikua na nia gani hasa?

Kingine nimepitia comment zako za huko nyuma kuna sehemu ulidai ukiwa chuo ulidate na majamaa wawili kwa mpigo inasikitisha.

Mi nakuomba utulie kwa sasa maana si tayari ushajijua uko katika hali hiyo kama vipi tulia tu na Prof. hawa vijana wengine utawaangamiza kwa makusudi na itakua ni dhambi.
 
Pole sana kwa matatizo, mtu Ana Ukimwi anakula pekupeku kwa mdada wa umri mdogo.

Wadada wa chuo wanapenda kupata A, B+ Hapa ndipo wanapoingia kwenye matatizo ya kuliwa.
 
We Dada isije ikawa ni harakati za kupunguza watu kuja pm[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].... Maana naelewa psychology kidogo wewe kama kweli umelala na wanaume humu Jf there was no way upate courage ya kuja kuandika uzi kama huu... Lakini all in all umetupa somo now days Ukimwi hauongelewi kama zamani.. Alafu wakumbushe na Mdudu Mwingine yule anaitwa Hepatitis B.. Huyu sahivi anasambaa kwa kasi sana hapa nchini na kuyu anahatari sana maana nae ni kirusi...[emoji855][emoji855][emoji855]

 
Pole sana,

Ila huyo jamaa sidhani kama alikupenda, kama alikupenda asingekugusa hata, means alikua anasambaza,
Ila hao vijana unaosema, kama kweli ulikua unawajali sana kwanini uwakubali au kutoa tahadhari kabla,kama unaogopa kujulikana basi ungewakataa kabisa, sababu ukiwakubali utaumiza mamia,

Ila kama kweli unawajali unge,watahadharisha mapema au kuwakataa,
kwanini hukuwatahadharisha au kuwakataa, means nawewe unasambaza(simaniishi vibaya) ndio maana umewakubali bila ya kuwapa tahadhari, bora utulie labda yupo atakayekupenda kweli,

kuliko kuwakubali Hao wanaojiita mabaharia, kwanini nimesema mabaharia sababu mtu anayejitambua hawezi kutongoza AVATAR au kitu ambacho hukijui historia yake hata kukiona basi, Na haya ndio malipo ya mtu asiyejitambua, Na inavyoonyesha hawa mabaharia hawatulii Na boti moja kila itakayopita wamo, Na hizo boti nazo akiingia Baharia mwingine naye yumo vilevile, huyo Baharia alietoka boti hii Anaenda boti nyingine Na hiyo boti nayo IMO,

kumbuka Yule Baharia wa kwanza kabisa alietoka boti mbovu naye kashapita boti kama nne hizo boti nne nazo zinaendelea kusambaza ni mzunguko usiyokwisha, chanzo ni boti moja tu. MTAANI NA HUMU ndio bahari ya Hindi, Mwisho MMU inageuka mHmIuV,kama ni kweli, nisamehe kama nimekuudhi, Ila sio kwa nia mbaya,

Japo hii kama chai,
Natamani kila mtu Angekua anajitambua. Sababu haya ndio yanaendelea bila sisi kujua na yanaendelea kutokea HUMU na MTAANI pia,

Ushauri
Kaka,dada Usijipe moyo Kacheck afya yako kwanza, Kama hujui afya yako, nakuambia ukweli hao mabaharia na hizo boti wote hazijui Nini kinaendelea kisa wanaogopa kupima, unajua kwanini wanaogopa, jibu unalo, usiingie kichwa kichwa hizo za kuvaliwa hazizuii 100% jiamini peke yako (kuwa makini na afya yako afya ndio Kila kitu duniani ukiipoteza kurudi ni sawasawa ufanye maswali 50 ya math/hesabu , umalize ndani ya dk5)baada ya kupima tafadhari kama tayari usiongeze mwingine, labda mtu anayejua Hali yako na anayekupenda kwa dhati na anayejitambua ambaye sexy ni kitu Cha mwisho kwenye mapenzi, ila ukiongeza baharia au boti moja tu

(kumbuka sifa za mabaharia na boti)utaumiza makumi, mamia, na maelfu,
Kama bado tafuta mke ingiza ndani, kama umri hauruhusu huyo girlfriend wako hakikisha unapima kwanza kisha mnagandana mpaka ndoa, OA kisha baki njia kuu, muwe mnapima Mara kwa mara, piga kazi watoto wasome vizuri.
Mimi Sio mfia dini, ni ubongo wako unaoshindwa kuuongoza.

Amka Anza kujitambua. Ujinga wako Ni fursa kwa wengine wao wanatajirika, wewe huku unakufa maskini kwa kununua vidonge maisha yako yote, na lazima utanunua si unataka kuishi, sawa sawa na kulipia uhai wako mwenyewe, tabu yote ya nini kwanini usitulie, ule maisha yako kwa furaha kamili, kuliko kulipia maisha yako, huku ukiwa na kisasi na Kila mtu.

Amka Tujitambue mara 3000.
Tony Stark.
 
Uzuri wa HIV huwa haiambukizi waliokwisha ambukizwa. Inaambukiza wapya kila siku.

Lakini huku niliko HIV ikifika naamini UPEPO WA KISULISULI sio mchezo.
 
Msiogope jamani ngoma haiui kabisaa! Kinachoua ni magonjwa nyemelezi na njaa. Yaani kutokuwa na uhakika wa matibabu na kula. Ukishakuwa na uwezo wa kutibu magonjwa madogo madogo na kujiepusha na magonjwa makubwa makubwa unaweza jikuta unapinda mgongo na kuchafuka kichwa kama Lowassa. Ila chunga sana ukiwa na ngoma omba usipatwe na kisukari. Onyo: usifanye ngono zembe ipo siku dawa za a.r.v zitaadimika kwa sababu yoyote ile kama vikwazo vya kiuchumi, vita nk..... Alisikika kijana mmoja toka pande za Makete wanakoishi watu wasioiogopa ngoma kabisaa!
 
Dada ushanitisha mi Kuna member namizimia humu sana aisee .

Halafu maarufu ila sikubali lazima nimpate aniambukize tu kwakweli [emoji28]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…