Ushuhuda wangu: Mimi ni muathirika wa HIV (HIV Positive)

I feel pit for you [emoji17]ndo lile andiko la mshahara wa dhambi Ni mauti linapooneka dhahiri sasa,Tena hapo ukute uliamua kudate na lecturer wako kwa ajili ya marks,labda course work iliyumba au UE ilizingua!!maskini mdada mdogo umeangukia pabaya,all in all hongera kwa kujikubal Mana hata hvo sio mwisho wa maisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
bango ni kubwa taa zimewaka watakuwa wameelewa mm mambo ya kumega bila kinga yalinishinda hata uwe mzuri kama embe mkuu bila mpira goli sifungi mjuba
 
Iyaayaaaaweeeee iyayaweeeeee utamu wa tundaaaaa tumeuonaaaaaaa jamaaaaniii twendee twendeeeni weeee tukamsakeeeeeeee nyauuuuu.................... Ndemaaa ndemaaaaa ayayaaaaa ndemande ayaayaaaa
 
Huu ni uongo. Sijui ni nchi gani mbayo inaruhusu wageni wenye ukimwi kwenda kusoma
 
Siterehe tunazipenda ila mwisho wake mbaya wengi wameteketea kwa kuendekeza umalaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…