biznes_dealz
JF-Expert Member
- Jul 4, 2019
- 392
- 153
Hongera sana dada una moyo sana, Mungu azidi kukupigania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umesoma peke yako hapo St, Joseph sawa, vinginevyo utakuwa umesomea kozi za kucheza na watoto.Mshamba Wewe St Joseph semester ya Mwisho mwaka wa Mwisho yoote field
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini ulitembea na vijana bila kuwaambia status yako kuwa wewe ni positive ili wajue, badala ya kukubali kusex nao kwa kisingizio kuwa unatumia kinga.?? P umeniacha na majonzi hapo Dada anguNdio mwanzo unapopokea majibu ya positive unahisi umebebeshwa mzigo mkubwa mno na inakuwa vigumu kukabiliana na hali husika.
Ila mwisho wa siku utakubaliana na hali husika na maisha yataendelea kama kawaida.
Akili za wanawake kweli wanazijua wao wenyewe 😁😁😁
Mtu anakuambukiza UKIMWI kwa makusudi, lakini bado unaamini anakupenda upendo wa dhati
🤣😂😂🤣😂🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora niendelee na nyeto tu....maana sio kwa hizi takwimu za ukimwi
Hii inakuaje kuanikana hivi.
Usione bint mrembo mtaan Yuko Yuko tu jua kuna dingilao analea[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
kwakweli umakini unatakiwa, ila kwa sisi watu wa kugonga vyombo ni Blame an alcoholHahah si vyema kutaja hapa. Hiyo ni siri yangu ila muwe makini humu JF ni kama kijiji pia.
Muwe makini tu, huko mnapokutana.
"Alikuwa na upendo kwani alinitafutia kazi sehemu ....." Duuh! Nazi bado IPO
Sent using Jamii Forums mobile app
meoma eeh!!!!?
Hizo ndiyo akili za mtu aliyesoma University
Sijui sisi wa kolomije akili zetu zitakuwaje.
??????