Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rarely.oooh ok kuna condom kuchanika lakn
Si ukapate chanjo ya hepatisis?Mimi tunapimana HIV, hata nikukute huna, natumia kinga, maana kula kavu kuna hepatitis B pia.
Gharama yake ni Tsh. ngapi?Si ukapate chanjo ya hepatisis?
Kabisa cute,hali kitaa siyo yaanKweli ila kusex na mtu maisha haya bila kupima afya ni hatari mno tuseme ukweli
Kupima muhimu
KabisaKweli ila kusex na mtu maisha haya bila kupima afya ni hatari mno tuseme ukweli
Kupima muhimu
🤣🤣🤣Hapo nyeto yahusika...good point... Mimi sipend kabsa hata kuwa na marafik... Maana ndio chanzo... Music na AFYA ndio marafk zangu...
Kabisa mkuu, kila mtu ana nafasi ya kuandaa 'kesho' yake.Huu uzi umenikumbusha wakati nipo Chuo, Room mate wangu alikuwa akimiliki mademu watano pisi kali. Alikuwa akinishangaa sana mimi kwa kutokuwa na mzuka kama wake, alikuwa ananiita Paroko kwa tabia zangu zisizofanana nae.
Jamaa alifariki mwaka jana na ugonjwa huuhuu.
Maamuzi ya kupata au kutopata hili gonjwa yapo kwenye nafsi zetu wenyewe.
💯Mimi tunapimana HIV, hata nikukute huna, natumia kinga, maana kula kavu kuna hepatitis B pia.
Kuishi sawa, ila kwa stepHata wewe utafariki, yeye pia angeweza kupata ajali na kufariki pasipo ukimwi muda huohuo. Ishi
Nimepata, lakini hainaanishi kuwa ukiishi ovyo ovyo ndo hutougua.Si ukapate chanjo ya hepatisis?
Sindano jumla tatu, gharama ni elfu 30, kila ukichomwa umalipa elfu kumi. Ukichomwa ya kwanza, unakaa mwezi unachomwa ya pili, unakaa miezi mitano unachomwa ya tatu na ndo ya mwisho.Gharama yake ni Tsh. ngapi?
Sorry kwa usumbufu,je hiyo sindano ipo kila kituo cha afya nchini au ni baadhi ya vituo vya kutolea huduma ya afya?Sindano jumla tatu, gharama ni elfu 30, kila ukichomwa umalipa elfu kumi. Ukichomwa ya kwanza, unakaa mwezi unachomwa ya pili, unakaa miezi mitano unachomwa ya tatu na ndo ya mwisho.
Ni baadhi, nenda hospitali za wilaya. Au kama upo karibu na hospitali ya mkoa, nenda huko huko, lakini jua kuwa sometimes chanjo zake zinaisha, watu wanapaswa kusubiri.Sorry kwa usumbufu,je hiyo sindano ipo kila kituo cha afya nchini au ni baadhi ya vituo vya kutolea huduma ya afya?