USHUHUDA WANGU: Nilivyotembea na wake za watu vol 1

Kuna wadudu hatari kama nyoka , baibui hasa ( black widow) hafai kabisa ,tandu ,ng'e na kazalika


Au huna akili vizuri
Nakufundisha Nyoka wamuogopa mwanadamu, vilevile akiuma ni kwa sababu hana namna shekhe!, me wa Dar nimewasikia sana kumbe kweli ndo maana mwadharauliwa, waogopa Baibui weye? Taandu?

nakadhalika pia waiogopa shehkhee? lazima weye wapiga mkorogo weye? tena watumika haswaaaa! Viumbe waso kauli!....bora japo ungenyamaza maalim!

Hufai kabisaa! umeagizwa weye, unatakiwa kumlinda nkeo kwa bashahsha!! weye waogopa wadudu shekhe?! tena taanduu?? nge , nyoka waso kauli?? akija kaka jambazi si ndo kabisaaaa! utajinyea weye!
 
Ni buibui, na sio baibui mkuu
 
Ni buibui, na sio baibui mkuu
Weye ndo hujui!! wengi huogopa Baibui kwa sababu!! lile vazi bana lina mengi mnoo, usijaribi kusogelea mtu aliye vaa baibui, Maarufu km Ninja, na ninja kweli usifanye masihara, tajiri na Baibui ni vitu viwili tofauti ....


Sikia huvaliwa na kaka-jambazi, vibaka, na wale naniliu.......ili kupata mawindo yao kirahisi, Hata sometimes Majini!! ukikutana na Baibui usiku ndo Balaa kabisaaaa!! vibwengo wale utakufa siku si zako!!

Polisi mkurya mwenyewe na uninja wake akiwa na Bunduki juu anayaogopa Ma-Baibui sembuse weye! Mla vihepe vya Mbagalla!
 
Mkuu uume haujaota sugu kweli?
 
unaona ni sifa kwa ujinga ulioufanya hadi kujisifia
 
Duh..
Mbona hakukuwa na mwendelezo?
Inawezekana mtoa mada alipigwa pini akatulia
 
Kimbia wewe maana unasakwa na wenye wake zao. Mtu unaeleza hadi mwenye mke anashtuka na kujitambua kabisa
 
anahonga 200k kwa mke wa mtu af anajiona nunda 😁
 
Mimi kuja kula mke wa mtu...
Hapana hiyo haitokuja tokea
Kama kuna watu wanaona na comment nimewahi kula mke wa mtu jua ni utani siwezi na sitaweza...

Ila atakaye kula mke wangu. Namkodia wahini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Mimi kuja kula mke wa mtu...
Hapana hiyo haitokuja tokea
Kama kuna watu wanaona na comment nimewahi kula mke wa mtu jua ni utani siwezi na sitaweza...

Ila atakaye kula mke wangu. Namkodia wahini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Unamkodia wafiristi wanamfanyia cha Hassan..
 
Unamkodia wafiristi wanamfanyia cha Hassan..
Oya wahuni niwape story ya hasan..
Hasan huyu huyu hassan mtoto wa jirani,,,
Juzi kati kakutwa na mke wa jirani..
Kufa au kubakwa hassan achague nini...
Hasan amepona naulizwa amefanywa nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸš¬πŸš¬
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…