Ushuhuda wangu: Nilivyotembea na wake za watu

Uyu mpalange atafutwe popote pale alipo akamtwe na ahojiwe.

Naona ametajwa tajwa Sana kwenye Uzi huu.
 
Swali zuri sana kiti chema

"Mla vya wenziwe na vyake uliwa"

So far sijapenda vile alivyo transparent ukiunganisha dot unaweza mjuwa mwanamke aliyemla,siyo msiri!!
 
#6 y nailed it. Wake za watu hawatakagi watu waongeaji
 
Swali zuri sana kiti chema

"Mla vya wenziwe na vyake uliwa"

So far sijapenda vile alivyo transparent ukiunganisha dot unaweza mjuwa mwanamke aliyemla,siyo msiri!!
Ngoja tusubiri jibu Kama make wake alibaki salama alikomuacha
 
Kwa hesabu za haraka harak umewekeza Kam milioni mbili hv kwa zoezi hilo ...duh una hatar ndugu yangu huwenda nae wakwako anatafunwa tu HV hv
 
Unahonga lak2 kwa mke wa mtu gemu ya siku moja?? Bora nimhonge bint mbichi
 
Asante kwa taarifa
Nakuomba ukafanye zoezi la Kuchunguza MKEO KWANI NA YEYE NI SEHEMU YA MKE WA MTU
Alafu Rudi utupe mrejesho
 
Huko sehemu nyingine unaanzaje na huo uchafu?
 
This confession means unakaribia kufa sasa imebaki TOBA tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…