Ushuhuda wangu: Nilivyotembea na wake za watu

Kwa mambo kama haya ya mtoa mada, halafu mtu mwingine huko anajisifia mke wake ana laza hadi elfu kwa biashara ya chips tu?
 
Zinaa huleta
1.Ufukara
2.Magonjwa
3.Mifakarano/Ugomvi

ushauri wangu kwako bwana mla wake za watu ni muda wa kukaa chini na kutubu zambi zako kwa kipindi hiki ambacho Mungu amekupa chembe ndogo ya uhai.

Hakika maisha ya dunia ni starehe za muda mfupi... Itakupendeza kama utabaki kuwa na mke wako ili hali unamfanyia uadilifu.

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 

Duh
 
Muuza vitenge anahonga laki mbili cash. Kumbe vitenge vinalipa!
 
Kutesa Kwa zamu ukumbukee Huku naeee Mkee watu walikua wanafuamua Tuu Milango yoooteee Daddekiii Tena Tigo na Wamefumua zaidiii
 
Rubish kabisa hii, elewa na mkeo aliwa pia ,tena analiwa hadi tigo
 
Mkuu umenifurahisha umakini wako wa kukumbuka venue ulizofanyia mauani
 
Hahaha hii mada imenichekesha sana na vile watu wanatoa mapovu

Mkuu tunasubiria vol 2 tuendelee kujifunza zaidi ila kuhusu kula tigo

Hii hapana aisee unataka ushawishi watu tusikutane na mtume siku ya kiama
Hahahaha alete kweli vol 2
 
Oyaa tunasubiria Vol 2 mkuu

Njoo uendelee na kama umekula mke wa mtu jamii forum we tuelezee tu kieleweke maana naona wengi wanaotaka kukuzuia kuendelea wako kwenye ndoa wanaogopa kutumbuliwa
Hahahaha alete alete kitu cha vol 2 hicho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…