kidadari JF-Expert Member Joined Jul 26, 2012 Posts 8,647 Reaction score 9,604 May 31, 2013 #1 wakuu nina mdogo wanngu anataka kusoma nursing chuo cha private ana BIOS-D MATH-D CIV-D KISWA-D na mengine ni F.....Kama inawezekana chuo gani?
wakuu nina mdogo wanngu anataka kusoma nursing chuo cha private ana BIOS-D MATH-D CIV-D KISWA-D na mengine ni F.....Kama inawezekana chuo gani?
Y Yaledi julius Member Joined Apr 11, 2013 Posts 39 Reaction score 6 May 31, 2013 #2 Vyuo vipo lakini huyo anaweza kuku paracentamol badala ya dawa mseto, maana hana sifa kwanini asiende hata kilimo?
Vyuo vipo lakini huyo anaweza kuku paracentamol badala ya dawa mseto, maana hana sifa kwanini asiende hata kilimo?
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 May 31, 2013 #3 Nursing isiyokuwa digrii ni mateso tu. Muambie aende form5, kama ccm bado itakuwa madarakani then wataadjust upya matokeo na ataenda chuo kikuu.
Nursing isiyokuwa digrii ni mateso tu. Muambie aende form5, kama ccm bado itakuwa madarakani then wataadjust upya matokeo na ataenda chuo kikuu.
nyamakonge JF-Expert Member Joined May 28, 2013 Posts 363 Reaction score 131 May 31, 2013 #4 mkuu nursing hawa somi walosoma arts.kwa hyo cfa hana.
Erick tryphone JF-Expert Member Joined May 8, 2013 Posts 387 Reaction score 84 May 31, 2013 #5 Kwani ada ya nursing bugando ni shingapi?