Kwa kuongezea, biashara yoyote ya kutafuta faida ya hela, ifuatavyo: 1. Jua hela zitaingia vipi na zitatoka vipi, 2. Jua wateja wako wapi. 3. kuna kitu gani wewe utafanya tofauti na wenzio waliokutangulia ambao wako tayari wanaendelea na biashara na wengine wamekwenda muflis. 4. Uendeshaji wa biashara, je utahiji mfanya kazi? je utahitaji machines. au serikali inahiji vibali, liseni zipi. 5. Je una plani ya baadae kazi ikishaanza? yani kuifanya biashara idumu.
Haya maswali zio magum, lakini yanahiji uangalifu. Kuwasiliana na Babalao ni kitu muhimu. Hata Mjasirimali wa Kashata kwa tangawizi, hujibu haya maswali yote. Kwa kua biashara yake ni ndogo na mahesabu machache basi hufanya hizi taratibu moja mpaka tano, kichwani.