Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu sababu nasikia Gari ikiwa zenji imetumika kwa muda mrefu kodi inashuka.Mkuu kodi utakayopigwa utajilaumu Jiwe hataki maskhara kabisa kwenye pesa...kama vipi nenda ukajiridhishe.
Hapana mkuuAna magari mengine tufanye biashara
Sawa mkuu sababu nasikia Gari ikiwa zenji imetumika kwa muda mrefu kodi inashuka.
pitishia BagamoyoMsaada wadau, Kuna Gari nimeipenda ipo zanzibar na muhusika anasema Gari imekaa Miaka 2 kule, ni cc 1800 Toyota celica, nilipomuuliza kuhusu kodi akasema haizidi 2m kitu ambacho nimepata mashaka, kwa wajuzi naomba kueleweshwa kuhusu hili swala.
Bagamoyo ni Pemba?pitishia Bagamoyo
Hili ni miongoni mwa "kero za muungano" lakini kiuhalisia, limekuwa na upotoshaji mkubwa. Gari ikitoka Zanzibar kwenda bara inalipiwa DIFFERENCE ya ushuru. Ushuru wa Zanzibar ni 40% ya ushuru kamili unaolipwa bara.Mkuu narudia tena Jiwe hana utani na hela...wapemba wanamuelewa vizuri nakupa mfano mdogo tu.
Kontena na la futi 40 la spea za pikipiki kodi kwa Zanzibar inacheza 5-7Milioni lakini huku Bara ni 40Milioni...Zenji magari rahisi lakini tatizo kuyatoa kule kodi ni noma baba ake.
Zanzibar - ZRAGari ni namba ipi Zenji? Anakudanganya hauwez kuwa Mill 2, ni zaid ya hapo, chukua kadi ya gari nenda nayo tra zanzibar then watakupa bei ya ushuru linalodaiwa ili kulitoa Zenji sababu wataangalia imeingia lini Zenji na ililipiwa sh ngap kodi
Baada ya hapo njoo bara waulize gari itatakiwa sh ngap ili iingie bara, tra wa hapa bara watataka kuona zanzibar imelipiwa au italipiwa sh ngap then nao wanaweka amount yao ambayo itakuwa juu zaidi ya zanzibar
Hayo yote unaweza Kufanya kwa kuuliza tu system ya TRA zanzibar then unakuja bara bila kulipia gari kwanza
UMETUACHA NJIANI KAKA...KWANI USITULETEE MCHANGANUO KWA GARI YAKO TUJARIBU PIGA HESABUTafuta agent mwenye uzoefu wa kusafirisha magari kutoka znz kuja bara, atakupa mchanganuo wa garama zote kwasababu ziko nyingi usiangalie hiyo difference peke yake. Nilikua nikiishi znz nikanunua gari ambalo nilitumia zaid ya miaka 3, nilipoamua kurudi bara haikua rahisi kusafirisha lile gari japokua nilifanikiwa kulisafirisha.
Hesabu hua iko hivi:UMETUACHA NJIANI KAKA...KWANI USITULETEE MCHANGANUO KWA GARI YAKO TUJARIBU PIGA HESABU
Kwa hali hii Zanzibar sio Tanzania nahisi Kama haipo Kenya basi ni OmanDaah yaani Zanzibar kama si Tz vile
Tatizo la magari toka Zanzibar unalinunua pamoja na jini lake....utashangaa unaendesha uko peke yako unasikia mtu anaongea na wewe au anakohoa toka chini ya chassis.Msaada wadau, Kuna Gari nimeipenda ipo zanzibar na muhusika anasema Gari imekaa Miaka 2 kule, ni cc 1800 Toyota celica, nilipomuuliza kuhusu kodi akasema haizidi 2m kitu ambacho nimepata mashaka, kwa wajuzi naomba kueleweshwa kuhusu hili swala.
Garama za znzUMETUACHA NJIANI KAKA...KWANI USITULETEE MCHANGANUO KWA GARI YAKO TUJARIBU PIGA HESABU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bagamoyo ni Pemba?