Gari ni namba ipi Zenji? Anakudanganya hauwez kuwa Mill 2, ni zaid ya hapo, chukua kadi ya gari nenda nayo tra zanzibar then watakupa bei ya ushuru linalodaiwa ili kulitoa Zenji sababu wataangalia imeingia lini Zenji na ililipiwa sh ngap kodi
Baada ya hapo njoo bara waulize gari itatakiwa sh ngap ili iingie bara, tra wa hapa bara watataka kuona zanzibar imelipiwa au italipiwa sh ngap then nao wanaweka amount yao ambayo itakuwa juu zaidi ya zanzibar
Hayo yote unaweza Kufanya kwa kuuliza tu system ya TRA zanzibar then unakuja bara bila kulipia gari kwanza