Ushuru wa gari kutoka Zanzibar

Ushuru wa gari kutoka Zanzibar

Tatizo la magari toka Zanzibar unalinunua pamoja na jini lake....utashangaa unaendesha uko peke yako unasikia mtu anaongea na wewe au anakohoa toka chini ya chassis.
Acha utani basi 😂😂😂 ushawahi kuuziwa gari na jini mzee?
 
Gari ni namba ipi Zenji? Anakudanganya hauwez kuwa Mill 2, ni zaid ya hapo, chukua kadi ya gari nenda nayo tra zanzibar then watakupa bei ya ushuru linalodaiwa ili kulitoa Zenji sababu wataangalia imeingia lini Zenji na ililipiwa sh ngap kodi
Baada ya hapo njoo bara waulize gari itatakiwa sh ngap ili iingie bara, tra wa hapa bara watataka kuona zanzibar imelipiwa au italipiwa sh ngap then nao wanaweka amount yao ambayo itakuwa juu zaidi ya zanzibar
Hayo yote unaweza Kufanya kwa kuuliza tu system ya TRA zanzibar then unakuja bara bila kulipia gari kwanza
Mkuu labda nikupe tu elimu kwa gari ilioingia Zanzibar ushuru mara nyingi hua ni nusu bei mfano umenunua gari XX 7m Japan zanzibar ushuru utakua 3.5m ila kwa mfano gari hilo hilo kama kutoka Japan kuja TZ ushuru ni 5m...kama umelinunua kutoka Zanzibar na lilishasajiliwa basi ushuru utakao lipia ni 1.5m hio inaitwa differential TAX...
 
Back
Top Bottom