Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Lipeni kodi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili lakuwekewa gharama za cku nzima wakati umepark kwa hata nusu saa lipo Sana na hata ukienda kwenye ofisi zao, ushirikiano ni mdogo Sana. Kuna kipindi niliandikiwa nimepark slip way wakat tangu huu mwaka umeanza sijawahi fika huko. Unaweza kupark gari saa 11 jioni na mwisho ni saa 12 jion lkn utaandika gharama ya kutwa. Labda ujiongeze ukipark tu unampa jero yake, hapo hutoandikiwa. Inakera Sana kwa kweliPole sana Mkuu
Upo mtindo mwingine wa kuisajili gari katika malipo ya siku ya sh 2500 bila ridhaa wala kutaarifiwa
Unakuta ulipark mahala kwa muda mfupi, lakn mtu wa maegesho sijui kwa maksudi au kuhakikisha hesabu yake ya siku inatimia anakusajili ktk mfumo huo, hapo ina maana gari yk hata kama inasimama kwa muda tu na huwa waipark ndani (mathalani ofisi zenye maegesho yao) basi we bill inakuwa yaongezeka.
Mpaka siku ukimpata mtu wa maegesho muungwana anakwambia ndugu umesajiliwa ktk kifurushi cha siku cha 2500, unajua hilo? Unabaki unashangaa tu na mbaya zaidi huwezi kumjua aliekusajili na wao hawajuani hvy mpk uende ofisini nako huko kuna danadana bhasi taabu tu
Kwa kweli kumiliki gari kwa mjini changamoto si mafuta ila gharama ndogo ndogo ambazo hazipo hata katika hesabu yako kama hizi, bado maegesho si salama sana nk. Mamlaka husika zifanyie kazi haya
Mie nimekutana na mkeka huu hapa j3 wiki hiijana nmeangalia gari yangu ambayo toka niinunue haijawahi kukanyaga hata posta,au kkoo sabab napendaga sana kuingia mjini na boda.
nmekuja kukuta nina deni la 60k mpaka nikashtuka vibaya sana nikaangalia gari ambazo siko ofisini gari zote 22 zina madeni ya tarura mpka ile ilosajiliwa week ilopita