Ushuru wa Maegesho: Sitaki kuamini kama uhuni huu wa TARURA una baraka ya Serikali

Hili lakuwekewa gharama za cku nzima wakati umepark kwa hata nusu saa lipo Sana na hata ukienda kwenye ofisi zao, ushirikiano ni mdogo Sana. Kuna kipindi niliandikiwa nimepark slip way wakat tangu huu mwaka umeanza sijawahi fika huko. Unaweza kupark gari saa 11 jioni na mwisho ni saa 12 jion lkn utaandika gharama ya kutwa. Labda ujiongeze ukipark tu unampa jero yake, hapo hutoandikiwa. Inakera Sana kwa kweli
 
jana nmeangalia gari yangu ambayo toka niinunue haijawahi kukanyaga hata posta,au kkoo sabab napendaga sana kuingia mjini na boda.

nmekuja kukuta nina deni la 60k mpaka nikashtuka vibaya sana nikaangalia gari ambazo siko ofisini gari zote 22 zina madeni ya tarura mpka ile ilosajiliwa week ilopita
 
Mie nimekutana na mkeka huu hapa j3 wiki hii
 
Kuna wengine wanaandika tuu number.. ukiangalia unakuta una tickets za sehemu ambazo hujawahi kufika kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…