Kayoka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 2,262
- 1,956
Habarini wakuu!
Nina wazo la kufanya biashara ya unga wa mahindi, ulezi na mchele aina ya chopeko toka mahenge/ifakara/kilombero na kuleta Dar es salaam vyote vikiwa packed kwenye mifuko kwenda sokoni au kwa mlaji badala ya kuleta mpunga/mahindi/ulezi na kuja kukoboa hapa dar.
Je wale watu wa ushuru wa mazao barabarani wanaweza kunisumbua kwa kudai ushuru wa mchele packed kama wafanyavyo kwa mazao yasiyokobolewa au kusagwa.
Nina wazo la kufanya biashara ya unga wa mahindi, ulezi na mchele aina ya chopeko toka mahenge/ifakara/kilombero na kuleta Dar es salaam vyote vikiwa packed kwenye mifuko kwenda sokoni au kwa mlaji badala ya kuleta mpunga/mahindi/ulezi na kuja kukoboa hapa dar.
Je wale watu wa ushuru wa mazao barabarani wanaweza kunisumbua kwa kudai ushuru wa mchele packed kama wafanyavyo kwa mazao yasiyokobolewa au kusagwa.