Ushuru wa USA kwa Canada, Mexico na China vimeanza kufanya kazi rasmi

Ushuru wa USA kwa Canada, Mexico na China vimeanza kufanya kazi rasmi

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Baada yakusitisha kwa mwezi mmoja, Trump kasema Canada na Mexico hawajafanya lolote kuboresha hali ya mipakani. Basi ushuru wa 25 percent kwa bidhaa kutoka Canada na Mexico umeanza kufanya kazi rasmi. China imeongezewa ushuru kufikia asilimia 20, toka 10.

Waziri mkuu wa Canada ameongea na kusema nao wameweka ushuru wa asilimia 25 kwa bidhaa za Marekani. China wamesema wataziwekea bidhaa za Marekani ushuru wa kati ya asilimia 10-15. Mexico bado hawajajibu.
Mexico, Canada na China ni mataifa yanayoongoza kwa kuuza bidhaa Marekani.

Waafrika tunawezaje kufaidika na vita hii?
 
Tanzania tungekuwa na viongozi wenye akili hiyo ndio ingekuwa ni fursa ya kupaisha uchumi wetu na kupunguza umaskini lakini kwa bahati mbaya sisi tuna watawala ambao nia yao ni kuwa madarakani kwa maslahi binafsi na kulewa sifa toka kwa wajinga wachumia tumbo.
 
Tanzania tungekuwa na viongozi wenye akili hiyo ndio ingekuwa ni fursa ya kupaisha uchumi wetu na kupunguza umaskini lakini kwa bahati mbaya sisi tuna watawala ambao nia yao ni kuwa madarakani kwa maslahi binafsi na kulewa sifa toka kwa wajinga wachumia tumbo.
Eleza practicability yake ipoje?
 
Tanzania tungekuwa na viongozi wenye akili hiyo ndio ingekuwa ni fursa ya kupaisha uchumi wetu na kupunguza umaskini lakini kwa bahati mbaya sisi tuna watawala ambao nia yao ni kuwa madarakani kwa maslahi binafsi na kulewa sifa toka kwa wajinga wachumia tumbo.
Wenzio wanawaza derby ya Simba na yanga wewe unawaza fulsa za kiuchumi. Pole
 
Tanzania tungekuwa na viongozi wenye akili hiyo ndio ingekuwa ni fursa ya kupaisha uchumi wetu na kupunguza umaskini lakini kwa bahati mbaya sisi tuna watawala ambao nia yao ni kuwa madarakani kwa maslahi binafsi na kulewa sifa toka kwa wajinga wachumia tumbo.
Tanzania kipi tunauza Europe au US hata Kenya hapa na Uganda hatuna export za maana zaidi ya nafaka za misimu, kwahiyo hata ungeweka kodi kubwa kwa bidhaa zinazo toka nje utakacho sababisha ni maisha magumu kwa raia, nchi yetu katika uchumi wa dunia bado kabisa
 
sasa hiyo itakuwa inamaana gani kama marekani wamewekea ushuru mkubwa kwa bidhaa zinazo ingia nchini mwao, halafu mwisho wa siku hiyo kodi anakuja kuilipa mtumiaji wa mwisho ambaye ndio mmarekani mwenyewe.
 
Tanzania tungekuwa na viongozi wenye akili hiyo ndio ingekuwa ni fursa ya kupaisha uchumi wetu na kupunguza umaskini lakini kwa bahati mbaya sisi tuna watawala ambao nia yao ni kuwa madarakani kwa maslahi binafsi na kulewa sifa toka kwa wajinga wachumia tumbo.
Hujafikiria tu ukifsnya hivyo kwa nchi ambayo isi indasrialization ni kujipiga tu risasi mguun hamna cha maana utakacho achieve .. china ndo wanaweza hilo
 
sasa hiyo itakuwa inamaana gani kama marekani wamewekea ushuru mkubwa kwa bidhaa zinazo ingia nchini mwao, halafu mwisho wa siku hiyo kodi anakuja kuilipa mtumiaji wa mwisho ambaye ndio mmarekani mwenyewe.
Wenye akili wanafanyagq hivo wakijua wana alternative, means hizo bidhaa zinazo ingia nchini mwao kutoka nje wao pia wanazo, kuliweka kodi kubwa tafsiri yake ndio hiyo, vitu kutoka nje ya nchi bei yake itakua kubwa kulinganisha na vya ndani and hence wananchi wata opt kununua local made; kwetu tunaweka ushuru mkubwa kwenye mafuta, magari na vingine ambavyo hatu produce halafu unapunguza kodi kwenye betting, na bidhaa ambazo tunazalisha kama juice nk. Very interesting
 
Tanzania tungekuwa na viongozi wenye akili hiyo ndio ingekuwa ni fursa ya kupaisha uchumi wetu na kupunguza umaskini lakini kwa bahati mbaya sisi tuna watawala ambao nia yao ni kuwa madarakani kwa maslahi binafsi na kulewa sifa toka kwa wajinga wachumia tumbo.
Inasikitisha sana kwa kweli
 
Tanzania kipi tunauza Europe au US hata Kenya hapa na Uganda hatuna export za maana zaidi ya nafaka za misimu, kwahiyo hata ungeweka kodi kubwa kwa bidhaa zinazo toka nje utakacho sababisha ni maisha magumu kwa raia, nchi yetu katika uchumi wa dunia bado kabisa
Hatuna uongozi ndio maana yake. Tuna watu ambao kwao uongozi ni ulaji. That's all.
 
sasa hiyo itakuwa inamaana gani kama marekani wamewekea ushuru mkubwa kwa bidhaa zinazo ingia nchini mwao, halafu mwisho wa siku hiyo kodi anakuja kuilipa mtumiaji wa mwisho ambaye ndio mmarekani mwenyewe.
Ndio fursa ya nchi ambazo hazilengwi na ushuru huo kupeleka bidhaa zao Marekani. That's all.
 
Hatuna uongozi ndio maana yake. Tuna watu ambao kwao uongozi ni ulaji. That's all.
Watanzania wote wako hivo hata ukiangalia tasisi za chini watu ni walaji hawana utendaji wana upendeleo ufisadi wizi nk. Kwahiyo ustagemee Tanzania kubadilika leo au kesho.
 
sasa hiyo itakuwa inamaana gani kama marekani wamewekea ushuru mkubwa kwa bidhaa zinazo ingia nchini mwao, halafu mwisho wa siku hiyo kodi anakuja kuilipa mtumiaji wa mwisho ambaye ndio mmarekani mwenyewe.
Maana yake asinunue China anunue vya ndani sababu vitu vya china bei chee kwaiyo waki compare saiv mtu ana ona Bora bidhaa Fulani ainunue tu Marekani sababu bei zitakua sawa na quality unaweza kuta ya USA ipo juu na akuna bidhaa inazalishwa china Marekani aipo tofauti ni bei tuuh
 
Back
Top Bottom